Pre GE2025 Wadau washangazwa na Boda boda Mwanza kumshukuru Rais Samia katika Jambo lisilojulikana

Pre GE2025 Wadau washangazwa na Boda boda Mwanza kumshukuru Rais Samia katika Jambo lisilojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.

Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!

Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.

Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.

Screenshot_2024-10-14-17-26-22-1.png
 
Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.

Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!

Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.

Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.

View attachment 3124948
Sawa.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.

Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!

Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.

Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.

View attachment 3124948
Hata Mtwara kwenye wasafi festival nao hivyo hivyo
Halafu kuna samia fashion 😂
 
HILO NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina Kasimu na Kamanda Muliro mwende mkalitazame hili kwa makini kisha mnirudishie ripoti inayoonesha ni kwanini maafisa usafirishaji wamenisifu mimi mama yenu.

Tumeanza kusikia vijikelele kelele kutoka kwa MASHANKUPE wakinitusi na kuniita LIBIBI MATOZO mara sijui hiki KIZEE KIUAJI kinatoa rushwa lakini naziba masikio kama chura kiziwi. SIWASKIZI.

Kamanda Muliro nina imani na uzoefu wako wa kucheza judo hivyo nakuagizeni mwende mkanipiganie mama yenu.

MKINIKUNA NITAWAKUNA.

Cc: Nyani Ngabu
 
Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.

Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!

Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.

Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.

View attachment 3124948
Kwa kuwawezesha kibiashara mikopo ya halmashauri nk au hujui

Ulitaka wangane na yule bwege mpagani Godless Lema aliyesema kuwa bodaboda ni kazi ya laana wakati inawapa pesa halali za kulisha familia zao na kutoa fungu la kumi na sadaka kanisani wanakisali
 
Ilitokea tena maeneo ya Kata ya Makumbusho Bodaboda wamewekewa lita 1 tu na reflector yenye Picha ya Mama Samia wakawa wanapangwa namna ya kusifia dooh. Kweli Chama hiki kimezeeka na kimekuwa na kauli na matendo ya ajabu kabisa
 
Kwa kuwawezesha kibiashara mikopo ya halmashauri nk au hujui

Ulitaka wangane na yule bwege mpagani Godless Lema aliyesema kuwa bodaboda ni kazi ya laana wakati inawapa pesa halali za kulisha familia zao na kutoa fungu la kumi na sadaka kanisani wanakisali
Wewe ni mmoja wao?
 
UKWELI utabaki pale pale kuwa BODA_BODA siyo KAZI ya kujipiga KIFUA. kila m_TANZANIA abuni mbinu ya kujikomboa KIUCHUMI.thats ALL.
 
UKWELI utabaki pale pale kuwa BODA_BODA siyo KAZI ya kujipiga KIFUA. kila m_TANZANIA abuni mbinu ya kujikomboa KIUCHUMI.thats ALL.
Mimi binafsi nina bodaboda 15 zinapeleka watu maeneo ambayo daladala wala bajaj haziendi sababu hakuna barabara

.mchawi wewe kwa hiyo unataka watu watembee kwa miguu kwenda eneo daladala au bajaji haziendi? Una pepo la mateso limekuvaa la kutaka binadamu wengine wateseke pepo mkubwa wewe mwana wa Ibilisi mlaaniwa
 
Back
Top Bottom