Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi wako wengi, a.k.a kujizima dataHii nchi ina laana haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi wako wengi, a.k.a kujizima dataHii nchi ina laana haswa
Mikopo ya halmashauri ni hela za Rais?Ndio
Ni za Chadema?Mikopo ya halmashauri ni hela za Rais?
Za walipa kodiNi za Chadema?
Jibu swali wewe kapukuNi za Chadema?
Ndiyo kinachofanyika Tanzania kusujudu RaisUmasikini ni mbaya sana usipokuwa makini unaweza kumtukuza bindamu
Hovyo kabisaWanao ahirisha kufikiri kwa nafsi wako wengi, a.k.a kujizima data
Dah mama zetu wanajigalagala chini kwenye vumbi wakisujudu..nimeulaani umaskinkNdiyo kinachofanyika Tanzania kusujudu Rais
Hakuna adhabu kubwa duniani kama kuwa masikiniDah mama zetu wanajigalagala chini kwenye vumbi wakisujudu..nimeulaani umaskink
Huo ndio ulozi wa CCM lakini ni uzwazwa wa watanzania pia.Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.
Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!
Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.
Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.
View attachment 3124948
Ona hili hivi mijitu ya jamii forum haiwezi kumaliza siku haijadanganya kama hili aisee ni kituko🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi binafsi nina bodaboda 15 zinapeleka watu maeneo ambayo daladala wala bajaj haziendi sababu hakuna barabara
.mchawi wewe kwa hiyo unataka watu watembee kwa miguu kwenda eneo daladala au bajaji haziendi? Una pepo la mateso limekuvaa la kutaka binadamu wengine wateseke pepo mkubwa wewe mwana wa Ibilisi mlaaniwa
vip chadema wamejiskia vibaya sana eeh gentleman?Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.
Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!
Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.
Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.
View attachment 3124948

MkuuWadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.
Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!
Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.
Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.
View attachment 3124948
Hakika!Mkuu
Unapoona kiwango cha upumbavu kinazidi SGR ujue anguko halizuiliki
Mbona unateseka sana kwa issue ndogo ndogo kama hizo. Samia ni president mpaka 2030.Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.
Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!
Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.
Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.
View attachment 3124948
Hao jamii ya mfalme Zumaridi wapowapo tu hawajui kwa nini wanamshukuru. Akili za zumaridi.Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.
Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!
Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.
Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.
View attachment 3124948
kwani hapendwiCCM wanatumia nguvu kubwa saaana kuaminisha umma kuwa Samia anapendwa hadi Samia mwenyewe anaona kuwa anakejeliwa