Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sawa.Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.
Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!
Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.
Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.
View attachment 3124948
Hata Mtwara kwenye wasafi festival nao hivyo hivyoWadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.
Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!
Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.
Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.
View attachment 3124948
Wakati mwingine naona hata aibu kujitangaza kuwa mimi ni Raia wa TanzaniaHapo kila mmoja amejaziwa full tank petrol, umasikini ni kitu kibaya sn
Hii nchi ina laana haswaWakati mwingine naona hata aibu kujitangaza kuwa mimi ni Raia wa Tanzania
Kwa kuwawezesha kibiashara mikopo ya halmashauri nk au hujuiWadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais.
Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua alichowafanyia!
Kushukuru ni jambo Jema na ni Uungwana, lakini kushukuru kwa Mambo yasiyofahamika inashangaza.
Bila shaka hii ni Aina Mpya kabisa ya shukrani Duniani.
View attachment 3124948
Wewe ni mmoja wao?Kwa kuwawezesha kibiashara mikopo ya halmashauri nk au hujui
Ulitaka wangane na yule bwege mpagani Godless Lema aliyesema kuwa bodaboda ni kazi ya laana wakati inawapa pesa halali za kulisha familia zao na kutoa fungu la kumi na sadaka kanisani wanakisali
Umasikini ni mbaya sana usipokuwa makini unaweza kumtukuza bindamuHapo kila mmoja amejaziwa full tank petrol, umasikini ni kitu kibaya sn
NdioWewe ni mmoja wao?
Mimi binafsi nina bodaboda 15 zinapeleka watu maeneo ambayo daladala wala bajaj haziendi sababu hakuna barabaraUKWELI utabaki pale pale kuwa BODA_BODA siyo KAZI ya kujipiga KIFUA. kila m_TANZANIA abuni mbinu ya kujikomboa KIUCHUMI.thats ALL.
Yaani tuwaonee wivu watoa shukrani zisizojulikana!wivu wa kike