Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
Ulikuwa sahihi mkuuInsticts inaniambia si yeye alieandika ama kama ni yeye basi kafanya hivyo chini ya ulinzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa sahihi mkuuInsticts inaniambia si yeye alieandika ama kama ni yeye basi kafanya hivyo chini ya ulinzi
Dah hakika ule mwandiko hakuwa wa Ole MushiPost ya mwisho na HALALI ya Thadei Ole Mushi ni Ile ya tarehe 19th September (baada ya mtumiaji mpya wa account hii kuifuta post kuhusu timu ya simba).
Anayeiendesha account yake kwa sasa anajitahidi ila kuna makosa anayoyafanya (siyataji ataedit) ambayo wale wafuatiliaji wa karibu (wasio washabiki maandazi) wa kada huyu tunajua MWANDIKO na utaratibu wake SI HUU unaoendelea katika ukurasa wake. Mashabiki mbuzi ndio watakaoamini Thadei ndiye anaandika, kwa kuwa hawajui anaandikaje na jinsi anavyofikiri.
Lakini, hapa duniani unaweza kudanganya watu, ukageuza uongo kuwa ukweli kwa MUDA tu. Ipo siku ukweli utadhihirika.
Nadhani, kama mwenye account hawezi kuiaccess, anayefanya hivyo, hawezi kuuvaa uhalisia wa mtu mwingine. Bora kuiacha ikae bila kuandikwa chochote. Kuna vile Mungu katupa kila mtu upekee wake, na huo hakuna awezaye kuurekebisha.
Hata post hii kuhusu kurejea kwake ni kichekesho. Hii si akili ya Ole, Kuna vile anavyowasilisha mawazo yake, Kuna Aina za uchaguzi wa maneno, Kuna mpangilio nk... ni wazi kuwa huyu anayeitumia HAMJUI Ole Mushi kimaandishi, ametumia muda kupitia post zake za zamani akaigiliza ila nimwambie tu amefeli sana
NB uandishi ninaouzungumzia SI CONTENT ni PRESENTATION
Nakuombea kheri Ole.
Wako,
Bibi Happy Wa JosephView attachment 2783329
Sent using Jamii Forums mobile app
Atavikwa taji la ushindiGilbert Masawe kazi yake imekamilika
Ila akae akijua hizo hela zitamtokea puani. Ndugu wa marehemu lazima watazaa naye huyuAtavikwa taji la ushindi
Ratiba ya mazishi ya ndugu @ole_mushiDah hakika ule mwandiko hakuwa wa Ole Mushi
Inafikirisha na rumours zilizopo. Mazingira yanaonyesha wamemuua
CCM wauaji, Sasa unaona ujinga wako umekuwa hadharani lilikuwa suala la muda tuu.Atakuwa Kanda ya Nyasa kwenye +255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari zetu
Hapa nakukubali, haya maccm mauaji aisee! Sasa kauawa kweli.Kwamba atakuwa kauawa ?
Gilbert A Massawe alikuwepo?
Kumbe walishikilia hadi accountKada wa chama cha mapinduzi Ole Mushi amejitokeza kwenye Ukurasa wake wa Facebook na Kukanusha kuhusu kulishwa Sumu
Hivi karibuni kuliibuka kumeibuka taharuki kuhusu alipo kada huyu baada ya kupotea kwenye mitandao ya kijamii muda mrefu ambapo wakati mwingine alikuwa mkosoaji wa baadhi ya Viongozi wa chama Chake, hata hivyo Jana iliibuka taarifa kuwa Ole Mushi alilishwa sumu na watu wasiojulikana.
Hata hivyo lao mapema Kada huyo aliibuka kwenye mtandao wa Facebook na mada ya kumpinga Martin Maranja kuhusu Kuongezeka kwa Deni la Taifa.
'' Ufafanuzi wa mimi kulishwa Sumu'
Naomba kuwapa taarifa kuwa jambo hili ni Uzushi usiokuwa na Maana lililoibuliwa na watu kwa nia wanazozijua wao wenyewe. Mimi nipo salama kabisa japokuwa nilikuwa nimepumzika kidogo kuandika kwenye Social Media.
Hata hivyo nawashukuru nyote kwa kuonyesha upendo wenu kwa kunitafuta hapa na pale pindi mlipoona nipo Kimya kwa Muda Mrefu. Kunitafuta kwenu bila kuchoka kumenionyesha pia thamani yangu katika kuwasiliana na ninyi kupitia Ukurasa huu. Niwape taarifa kuwa nimerudi na tutaendelea kusomana hapa katika majadiliano ya mambo mbalimbali yayohusu jamii yetu kwenye nyanja zote (Siasa, Uchumi, Michezo nk)
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Ole Mushi
0712702602