Wadau waulizia alipo Mwana CCM Thadei Ole Mushi

Wadau waulizia alipo Mwana CCM Thadei Ole Mushi

CCM chama chetu hakikisheni huyu jamaa anapata matibabu coz huyu atakua sehem ya next phase generation ya wachapskazi ndani ya chama ambao taifa litajivunia!

Tusiue vipaji ndani ya chama!chama kinahitaji constructive criticism Ili kiendane na mabadiliko ya kisasa!

Tunaomba sana sana kijana atibiwe uwepo wake ni muhimu sana ndani ya chama na taifa kwa ujumla!
 
mashetani na maizi yamejaa kwenye uongozi, na tunayashangilia na kuyaabudu wakati yanatusua pesa zetu, barabara mbovu, shule mbovu, watoto wanakosa mikopo vyuoni, na wao wanatembelea magari ya kifahari na kuishi maisha ya kifahari kuliko hata watu wa ulaya. tunahitaji ukombozi wa fikra kwakweli.
 
Ex Mayor Jacob na MMM wameandika katika mtandao wa X (formerly Twitter).
huyu ni kada kindakinda wa CCM!
Wanawalaumu wana CCM kuhusika na hilo.

NI TETESI MAANA HAKUNA NEWS FROM CONFIRMED SOURCE

Kupitia ukurasa wa X, Boniface Jacob ameandika haya

-
CCM KWANINI MNATAKA KUMUUA THADEI OLE MUSHI......!

View attachment 2782152

Nimepokea kwa masikitiko na mshangao mkubwa sana taarifa ya shambulio la ghafla linaloaminiwa kuwa la "SUMU" dhidi ya mwana CCM machachari na mkosoaji wa Serikali ya CCM ndugu yetu Thadei Ole Mushi

Baada ya kupata taarifa za siri kuhusu kulishwa/kunyweshwa au kushambuliwa kwa sumu ndugu Thadei Ole Mushi

Mimi Boniface Jacob nimefanya jitihada za kumtafuta Thadei Ole Mushi na kuchunguza ukweli wa taarifa hizo

Nimejiridhisha kwamba Thadei Ole Mushi yuko katika hali mbaya inayoonekana siyo ya kawaida kwake

Yupo mkoani Dodoma (sehemu ni siri) akiwa na mke wake ambaye nimepatiwa namba yake na mtoa taarifa wangu.

Kinacho nisikitisha ni ndugu Thadei Ole Mushi kukosa msaada wa kuletwa hospitali kubwa kama Muhimbili jijini Dar es Salaam

Wakati nikiwa nimejiridhisha kuwa Thadei Ole Mushi hayupo katika hali ya kawaida, ndugu na watu wale wa karibu wa Thadei Ole Mushi wanaonekana kujitahidi kumficha na kuficha taarifa za ugonjwa wa Thadei Ole Mushi na wakati mwingine kuogopa kutoa taarifa za nini kimemkuta ndugu yetu.

Thadei Ole Mushi ni mwana CCM kindakindaki na mkosoaji mkubwa wa chama chake na serikali yake ya CCM, lakini haiondoi ukweli kuwa Thadei Ole Mushi ni mtu muhimu kwa CCM na siasa za Tanzania kama mchambuzi wa siasa nilifikiri CCM na Serikali yake ilitakiwa kutoa umuhimu mkubwa kwa Afya ya Thadei Ole Mushi hata kama hawakubaliani naye baadhi ya misimamo na mawazo yake.

Nikifikiri Jinsi Thadei Ole Mushi alivyokaribu na baadhi ya viongozi wa CCM na Serikali kama katibu Mkuu wa CCM Bw. Daniel Chongolo, wabunge kama akina Charles Kimei, wakuu wa Mikoa kama Anthony Mtaka, Mawaziri na manaibu kama Ridhiwani Kikwete bado nashangaa kwanini Thadei Ole Mushi atelekezwe wakati muhimu kama huu wa kupigania Afya yake.

Kwa namna ambavyo marafiki zake wa CCM na viongozi Serikali wanavyo muacha Thadei Ole Mushi kwa kumuacha apambane na hali yake ni dhahiri huenda wabaya wa Thadei Ole Mushi wapo CCM au kutoka ndani ya serikali ya CCM

Ni wakati sahihi sasa familia ya Thadei Ole Mushi itoke hadharani ituambie nini kimemkuta ndugu yetu katika siasa na mtanzania mwenzetu haraka na mapema tuweze kushiriki kunusuru uhai wake kabla hatujaijumuisha familia yake kama sehemu ya watu wabaya wa Thadei Ole Mushi.

Sisi Watanzania tupo tayari kumpambania na kumuokoa ndugu yetu Thadei Ole Mushi

Mtoeni mlipomficha, mpelekeni hospitali na kama gharama za matibabu ni kubwa tujulishwe tuweze kuchangia haraka sana.

Boniface Jacob
Hakujitoa ufahamu Ili Aishi na wenzie vizuri,pole Sana Kwa ndugu yetu
 
Ex Mayor Jacob na MMM wameandika katika mtandao wa X (formerly Twitter).
huyu ni kada kindakinda wa CCM!
Wanawalaumu wana CCM kuhusika na hilo.

NI TETESI MAANA HAKUNA NEWS FROM CONFIRMED SOURCE

Kupitia ukurasa wa X, Boniface Jacob ameandika haya

-
CCM KWANINI MNATAKA KUMUUA THADEI OLE MUSHI......!

View attachment 2782152

Nimepokea kwa masikitiko na mshangao mkubwa sana taarifa ya shambulio la ghafla linaloaminiwa kuwa la "SUMU" dhidi ya mwana CCM machachari na mkosoaji wa Serikali ya CCM ndugu yetu Thadei Ole Mushi

Baada ya kupata taarifa za siri kuhusu kulishwa/kunyweshwa au kushambuliwa kwa sumu ndugu Thadei Ole Mushi

Mimi Boniface Jacob nimefanya jitihada za kumtafuta Thadei Ole Mushi na kuchunguza ukweli wa taarifa hizo

Nimejiridhisha kwamba Thadei Ole Mushi yuko katika hali mbaya inayoonekana siyo ya kawaida kwake

Yupo mkoani Dodoma (sehemu ni siri) akiwa na mke wake ambaye nimepatiwa namba yake na mtoa taarifa wangu.

Kinacho nisikitisha ni ndugu Thadei Ole Mushi kukosa msaada wa kuletwa hospitali kubwa kama Muhimbili jijini Dar es Salaam

Wakati nikiwa nimejiridhisha kuwa Thadei Ole Mushi hayupo katika hali ya kawaida, ndugu na watu wale wa karibu wa Thadei Ole Mushi wanaonekana kujitahidi kumficha na kuficha taarifa za ugonjwa wa Thadei Ole Mushi na wakati mwingine kuogopa kutoa taarifa za nini kimemkuta ndugu yetu.

Thadei Ole Mushi ni mwana CCM kindakindaki na mkosoaji mkubwa wa chama chake na serikali yake ya CCM, lakini haiondoi ukweli kuwa Thadei Ole Mushi ni mtu muhimu kwa CCM na siasa za Tanzania kama mchambuzi wa siasa nilifikiri CCM na Serikali yake ilitakiwa kutoa umuhimu mkubwa kwa Afya ya Thadei Ole Mushi hata kama hawakubaliani naye baadhi ya misimamo na mawazo yake.

Nikifikiri Jinsi Thadei Ole Mushi alivyokaribu na baadhi ya viongozi wa CCM na Serikali kama katibu Mkuu wa CCM Bw. Daniel Chongolo, wabunge kama akina Charles Kimei, wakuu wa Mikoa kama Anthony Mtaka, Mawaziri na manaibu kama Ridhiwani Kikwete bado nashangaa kwanini Thadei Ole Mushi atelekezwe wakati muhimu kama huu wa kupigania Afya yake.

Kwa namna ambavyo marafiki zake wa CCM na viongozi Serikali wanavyo muacha Thadei Ole Mushi kwa kumuacha apambane na hali yake ni dhahiri huenda wabaya wa Thadei Ole Mushi wapo CCM au kutoka ndani ya serikali ya CCM

Ni wakati sahihi sasa familia ya Thadei Ole Mushi itoke hadharani ituambie nini kimemkuta ndugu yetu katika siasa na mtanzania mwenzetu haraka na mapema tuweze kushiriki kunusuru uhai wake kabla hatujaijumuisha familia yake kama sehemu ya watu wabaya wa Thadei Ole Mushi.

Sisi Watanzania tupo tayari kumpambania na kumuokoa ndugu yetu Thadei Ole Mushi

Mtoeni mlipomficha, mpelekeni hospitali na kama gharama za matibabu ni kubwa tujulishwe tuweze kuchangia haraka sana.

Boniface Jacob
Akipona;mwambieni Tanzania ni nchi ya Kifalme kwa vitendo na Demokrasia kwa maneno!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ex Mayor Jacob na MMM wameandika katika mtandao wa X (formerly Twitter).
huyu ni kada kindakinda wa CCM!
Wanawalaumu wana CCM kuhusika na hilo.

NI TETESI MAANA HAKUNA NEWS FROM CONFIRMED SOURCE

Kupitia ukurasa wa X, Boniface Jacob ameandika haya

-
CCM KWANINI MNATAKA KUMUUA THADEI OLE MUSHI......!

View attachment 2782152

Nimepokea kwa masikitiko na mshangao mkubwa sana taarifa ya shambulio la ghafla linaloaminiwa kuwa la "SUMU" dhidi ya mwana CCM machachari na mkosoaji wa Serikali ya CCM ndugu yetu Thadei Ole Mushi

Baada ya kupata taarifa za siri kuhusu kulishwa/kunyweshwa au kushambuliwa kwa sumu ndugu Thadei Ole Mushi

Mimi Boniface Jacob nimefanya jitihada za kumtafuta Thadei Ole Mushi na kuchunguza ukweli wa taarifa hizo

Nimejiridhisha kwamba Thadei Ole Mushi yuko katika hali mbaya inayoonekana siyo ya kawaida kwake

Yupo mkoani Dodoma (sehemu ni siri) akiwa na mke wake ambaye nimepatiwa namba yake na mtoa taarifa wangu.

Kinacho nisikitisha ni ndugu Thadei Ole Mushi kukosa msaada wa kuletwa hospitali kubwa kama Muhimbili jijini Dar es Salaam

Wakati nikiwa nimejiridhisha kuwa Thadei Ole Mushi hayupo katika hali ya kawaida, ndugu na watu wale wa karibu wa Thadei Ole Mushi wanaonekana kujitahidi kumficha na kuficha taarifa za ugonjwa wa Thadei Ole Mushi na wakati mwingine kuogopa kutoa taarifa za nini kimemkuta ndugu yetu.

Thadei Ole Mushi ni mwana CCM kindakindaki na mkosoaji mkubwa wa chama chake na serikali yake ya CCM, lakini haiondoi ukweli kuwa Thadei Ole Mushi ni mtu muhimu kwa CCM na siasa za Tanzania kama mchambuzi wa siasa nilifikiri CCM na Serikali yake ilitakiwa kutoa umuhimu mkubwa kwa Afya ya Thadei Ole Mushi hata kama hawakubaliani naye baadhi ya misimamo na mawazo yake.

Nikifikiri Jinsi Thadei Ole Mushi alivyokaribu na baadhi ya viongozi wa CCM na Serikali kama katibu Mkuu wa CCM Bw. Daniel Chongolo, wabunge kama akina Charles Kimei, wakuu wa Mikoa kama Anthony Mtaka, Mawaziri na manaibu kama Ridhiwani Kikwete bado nashangaa kwanini Thadei Ole Mushi atelekezwe wakati muhimu kama huu wa kupigania Afya yake.

Kwa namna ambavyo marafiki zake wa CCM na viongozi Serikali wanavyo muacha Thadei Ole Mushi kwa kumuacha apambane na hali yake ni dhahiri huenda wabaya wa Thadei Ole Mushi wapo CCM au kutoka ndani ya serikali ya CCM

Ni wakati sahihi sasa familia ya Thadei Ole Mushi itoke hadharani ituambie nini kimemkuta ndugu yetu katika siasa na mtanzania mwenzetu haraka na mapema tuweze kushiriki kunusuru uhai wake kabla hatujaijumuisha familia yake kama sehemu ya watu wabaya wa Thadei Ole Mushi.

Sisi Watanzania tupo tayari kumpambania na kumuokoa ndugu yetu Thadei Ole Mushi

Mtoeni mlipomficha, mpelekeni hospitali na kama gharama za matibabu ni kubwa tujulishwe tuweze kuchangia haraka sana.

Boniface Jacob
Kikulacho ki nguoni mwako
 
Picha ya karibuni ya Kada
 

Attachments

  • FB_IMG_1697653007737.jpg
    FB_IMG_1697653007737.jpg
    36.1 KB · Views: 9
Post ya mwisho na HALALI ya Thadei Ole Mushi ni Ile ya tarehe 19th September (baada ya mtumiaji mpya wa account hii kuifuta post kuhusu timu ya simba).

Anayeiendesha account yake kwa sasa anajitahidi ila kuna makosa anayoyafanya (siyataji ataedit) ambayo wale
Umemaliza kila kitu .
 
Ukishakuwa Mateka unaamrishwa kuandika chochote watakacho .

Roma alipotekwa siku chache baada ya kuonekana alitumbuiza Ikulu kwa hisani ya Makonda

Cha kushangaza siku chache baada ya tukio hilo akakimbia nchi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom