Wadau waulizia alipo Mwana CCM Thadei Ole Mushi

Wadau waulizia alipo Mwana CCM Thadei Ole Mushi

Hii ndio gharama ya Opposition kutetea vijana wa CCM.

They will always disappoint.

Angeandika bila kuweka neno " uzushi" na kusema "taarifa hizi si za kweli" angepungukiwa nini.
 
Kama wa chama cha mapinduzi Ile Mushi amejitokeza kwenye Ukurasa wake wa Facebook na Kukanusha kuhusu kulishwa Sumu

Hivi karibuni kuliibu kumeibuka taharuki kuhusu alipo Kada huyu baada ya kupotea kwenye mitandao ya kijamii muda mrefu ambapo wakati mwingine alikuwa mkosoaji wa baadhi ya Viongozi wa chama Chake, hata hivyo Jana iliibuka taarifa kuwa Ole Mushi alilishwa sumu na watu wasiojulikana.

Hata hivyo lao mapema Kada huyo aliibuka kwenye mtandao wa Facebook na mada ya kumpinga Martin Maranja kuhusu Kuongezeka kwa Deni la Taifa.

'' Ufafanuzi wa mimi kulishwa Sumu'

Naomba kuwapa taarifa kuwa jambo hili ni Uzushi usiokuwa na Maana lililoibuliwa na watu kwa nia wanazozijua wao wenyewe. Mimi nipo salama kabisa japokuwa nilikuwa nimepumzika kidogo kuandika kwenye Social Media.

Hata hivyo nawashukuru nyote kwa kuonyesha upendo wenu kwa kunitafuta hapa na pale pindi mlipoona nipo Kimya kwa Muda Mrefu. Kunitafuta kwenu bila kuchoka kumenionyesha pia thamani yangu katika kuwasiliana na ninyi kupitia Ukurasa huu. Niwape taarifa kuwa nimerudi na tutaendelea kusomana hapa katika majadiliano ya mambo mbalimbali yayohusu jamii yetu kwenye nyanja zote (Siasa, Uchumi, Michezo nk)

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Ole Mushi
0712702602
Tupo na uakika gani kwamba aliepost kwenye page yake ni yeye mwenyewe, ajitokeze live ,mambo serious aya , tz na dunia ni ndogo sana,
 
Post ya mwisho na HALALI ya Thadei Ole Mushi ni Ile ya tarehe 19th September (baada ya mtumiaji mpya wa account hii kuifuta post kuhusu timu ya simba).

Anayeiendesha account yake kwa sasa anajitahidi ila kuna makosa anayoyafanya (siyataji ataedit) ambayo wale wafuatiliaji wa karibu (wasio washabiki maandazi) wa kada huyu tunajua MWANDIKO na utaratibu wake SI HUU unaoendelea katika ukurasa wake. Mashabiki mbuzi ndio watakaoamini Thadei ndiye anaandika, kwa kuwa hawajui anaandikaje na jinsi anavyofikiri.

Lakini, hapa duniani unaweza kudanganya watu, ukageuza uongo kuwa ukweli kwa MUDA tu. Ipo siku ukweli utadhihirika.

Nadhani, kama mwenye account hawezi kuiaccess, anayefanya hivyo, hawezi kuuvaa uhalisia wa mtu mwingine. Bora kuiacha ikae bila kuandikwa chochote. Kuna vile Mungu katupa kila mtu upekee wake, na huo hakuna awezaye kuurekebisha.

Hata post hii kuhusu kurejea kwake ni kichekesho. Hii si akili ya Ole, Kuna vile anavyowasilisha mawazo yake, Kuna Aina za uchaguzi wa maneno, Kuna mpangilio nk... ni wazi kuwa huyu anayeitumia HAMJUI Ole Mushi kimaandishi, ametumia muda kupitia post zake za zamani akaigiliza ila nimwambie tu amefeli sana

NB uandishi ninaouzungumzia SI CONTENT ni PRESENTATION

Nakuombea kheri Ole.
Wako,
Bibi Happy Wa Joseph
FB_IMG_1697422287519.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Post ya mwisho na HALALI ya Thadei Ole Mushi ni Ile ya tarehe 19th September (baada ya mtumiaji mpya wa account hii kuifuta post kuhusu timu ya simba).

Anayeiendesha account yake kwa sasa anajitahidi ila kuna makosa anayoyafanya (siyataji ataedit) ambayo wale wafuatiliaji wa karibu (wasio washabiki maandazi) wa kada huyu tunajua MWANDIKO na utaratibu wake SI HUU unaoendelea katika ukurasa wake. Mashabiki mbuzi ndio watakaoamini Thadei ndiye anaandika, kwa kuwa hawajui anaandikaje na jinsi anavyofikiri.

Lakini, hapa duniani unaweza kudanganya watu, ukageuza uongo kuwa ukweli kwa MUDA tu. Ipo siku ukweli utadhihirika.

Nadhani, kama mwenye account hawezi kuiaccess, anayefanya hivyo, hawezi kuuvaa uhalisia wa mtu mwingine. Bora kuiacha ikae bila kuandikwa chochote. Kuna vile Mungu katupa kila mtu upekee wake, na huo hakuna awezaye kuurekebisha.

Hata post hii kuhusu kurejea kwake ni kichekesho. Hii si akili ya Ole, Kuna vile anavyowasilisha mawazo yake, Kuna Aina za uchaguzi wa maneno, Kuna mpangilio nk... ni wazi kuwa huyu anayeitumia HAMJUI Ole Mushi kimaandishi, ametumia muda kupitia post zake za zamani akaigiliza ila nimwambie tu amefeli sana

NB uandishi ninaouzungumzia SI CONTENT ni PRESENTATION

Nakuombea kheri Ole.
Wako,
Bibi Happy Wa JosephView attachment 2783329

Sent using Jamii Forums mobile app
Akaigilizia!
 
Kama wa chama cha mapinduzi Ile Mushi amejitokeza kwenye Ukurasa wake wa Facebook na Kukanusha kuhusu kulishwa Sumu

Hivi karibuni kuliibu kumeibuka taharuki kuhusu alipo Kada huyu baada ya kupotea kwenye mitandao ya kijamii muda mrefu ambapo wakati mwingine alikuwa mkosoaji wa baadhi ya Viongozi wa chama Chake, hata hivyo Jana iliibuka taarifa kuwa Ole Mushi alilishwa sumu na watu wasiojulikana.

Hata hivyo lao mapema Kada huyo aliibuka kwenye mtandao wa Facebook na mada ya kumpinga Martin Maranja kuhusu Kuongezeka kwa Deni la Taifa.

'' Ufafanuzi wa mimi kulishwa Sumu'

Naomba kuwapa taarifa kuwa jambo hili ni Uzushi usiokuwa na Maana lililoibuliwa na watu kwa nia wanazozijua wao wenyewe. Mimi nipo salama kabisa japokuwa nilikuwa nimepumzika kidogo kuandika kwenye Social Media.

Hata hivyo nawashukuru nyote kwa kuonyesha upendo wenu kwa kunitafuta hapa na pale pindi mlipoona nipo Kimya kwa Muda Mrefu. Kunitafuta kwenu bila kuchoka kumenionyesha pia thamani yangu katika kuwasiliana na ninyi kupitia Ukurasa huu. Niwape taarifa kuwa nimerudi na tutaendelea kusomana hapa katika majadiliano ya mambo mbalimbali yayohusu jamii yetu kwenye nyanja zote (Siasa, Uchumi, Michezo nk)

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Ole Mushi
0712702602
Muda utaongea huyu si yeye sumu haina mzaha
 
Takribani zaidi ya wiki tatu (3), Kada maarufu wa CCM kwenye Mitandao ya kijamii Cde Thadei Ile Mushi hajaonekana.

Kada hayu mara ya mwisho alituma post yake face yenye kichwa "CCM Tusitumie Akili za Nape kwenye uchaguzi 2025 tutapoteana"

Pia kwa nyakati tofauti amekuwa mkosoaji wa kauli ya baadhi ya viongozi wa chama cha mapinduzi.

Moja ya ukosoaji ni Ole Mushi ampinga vikali Chongolo asema Katiba Mpya si mali ya chama chochote ni mali ya wananchi

Baada ya ujumbe huo mpaka hivi leo hajapost tena habari yoyote kwenye accounts zake.

Watu mbalimbali wamekuwa wakituma jumbe kwenye accounts zao kuulizia alipo kada huyu.

Moja waliotuma jumbe za kutaka kujua alipo Ile Mushi ni Malisa G, James Mbowe
Mkamuangalie kwake labda
 
.... Niwape taarifa kuwa nimerudi na tutaendelea kusomana hapa katika majadiliano ya mambo mbalimbali yayohusu jamii yetu kwenye nyanja zote (Siasa, Uchumi, Michezo nk)

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Ole Mushi
0712702602
Kurudi kutoka wapi?
 
Back
Top Bottom