Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Hapana sijamaanisha ivo. Bali anaweza kuwa safe house....Kwamba atakuwa kauawa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sijamaanisha ivo. Bali anaweza kuwa safe house....Kwamba atakuwa kauawa ?
CHADEMA imewatosa akina Mwabukusi na Mdude kwenye maandamano yao uchwara.
Fikirisha bongo kidogo kabla ya kuuliza
Tatizo lake anakunywa sana ulanzi MmawiaMmemteka hata Mmawia Jamani ?
Daaah ! Afadhali !Hapana sijamaanisha ivo. Bali anaweza kuwa safe house....
Ni afisa Elimu wilaya ya haiYupo mbona na juzi alicomment kwenye page ya rafiki yake Malisa sema Jamaa anapenda attention anajiita mwalimu hajulikani anafundisha shule gani
Kuwa seriousAtakuwa Kanda ya Nyasa kwenye +255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari zetu
Kwani taaluma ya ualimu mpaka uwe na shule ulikopangiwa kufundisha?Yupo mbona na juzi alicomment kwenye page ya rafiki yake Malisa sema Jamaa anapenda attention anajiita mwalimu hajulikani anafundisha shule gani
sawa mkuu ngoja tucheki kilichomtokea...Karibu kila mahali na mitandaoni kote wadau mbali mbali wanaulizia aliko Mchambuzi Mahiri na Mtetezi kabambe wa siasa za CCM, Bwana Thadei Ole Mushi.
Kwani ni kipi kimemtokea huyu Jamaa?
View attachment 2781579
Kama NyerereKwani taaluma ya ualimu mpaka uwe na shule ulikopangiwa kufundisha?
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - KikweteNimeona X-Mayor wa Ubungo Bwana Jacob akiripoti kwamba OLe MUSHI anaumwa na inasadikiwa amepewa sumu. Inaelezwa kuugua kwake ni siri na yupo Sehemu ya siri; wanadai wanasiasa wenzake wamemtenga na hakuna juhudi za kumfikisha hospital.
Nitoe rai kwa wanaohusika au familia watoke adharani kusema na jamii kuondoa uzushi huu unaolenga kubomoa taswira njema ya serikali ya kuwalinda wakosoaji wake. Serikali imejipambanua wazi kwamba haitishwi na wakosoaji hivyo ni vigumu wakosoaji wakapata madhara kiafya kisa wamesema vibaya chama au serikali.
Lakini pia nitoe wito kwa wanachama wa CCM kujiamini na kutosubiri maelekezo yakumsaidia binadamu anapopatwa na matatizo. Wenzenu CHadema wamewezaje kuwa wasemaji wema kwa wana CCM wanapougua au kupata majanga? Kwanini CHadema wawe wakwanza kutoa taarifa za msaada kwa mwana CCM?
Nape alipopata msaada marafiki wote wakamkimbia wakabaki wana harakati na CHadema kumsemea, same applies to mzee Kinana na hata akina polepole. Ninyi wahanga wanufaika wa siasa mnakosaje kujifunza kwa wenzenu?
Siasa zinapofika mahali zikakunyima uhuru wa kwenda msibani ,hospital au kwa mwanadamu mwenzako anayepitia kadhia flan basi hizo fikra za siasa zimekutenga na roho wa Mungu.
Kama ni kweli Ole MUSHI unaumwa tukutakie afya njema . Usisite kujitokeza kuomba msaada maana watu wema bado wapo na wanasubiri wito wako.