Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Noma sana ! Tumeonya wengi humu lakini hawatuelewi , Shetani hana rafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli na mwathirika au watu waliyo karibu naye hawachukui hatua au kutoa tamko na wanaogopa mimi sioni umuhimu wa watu wengine kuingilia. Watanzania tumekuwa waoga kupitiliza na mtu hata ndugu yake akiuawa utasikia analalamika chini chini huku anasema ''msiseme lakini ni mimi nimelalamika''.Noma sana ! Tumeonya wengi humu lakini hawatuelewi , Shetani hana rafiki
Kwani,mara ya mwisho si kwamba walikubaliana kukosoana ni sehemu ya demikrasia chamani?Kama anajinasibu ni CCM na anaikosoa serikali ya CCM huyo sio CCM tena ni mamluki.
Halafu hao hao Ccm wamsaidie ,dah , msaada usije kuambatana na Masharti ya kuwa ChawaKama anajinasibu ni CCM na anaikosoa serikali ya CCM huyo sio CCM tena ni mamluki.
Kwahiyo wamsaidie ili awakosoe zaidi? Ccm ina wenyewe,je na yeye ni mwenyewe ?Kwani,mara ya mwisho si kwamba walikubaliana kukosoana ni sehemu ya demikrasia chamani?
Chadema = IsraelCCM=Hamas
Hapo umeipaisha chadema,Israel ni habari nyingine,Chadema = Israel
Wajitokeze na kumsaidia kinafiki ili kuficha uchawi/uovu wao kwa vimbwenerehi wenzao.Kwahiyo wamsaidie ili awakosoe zaidi? Ccm ina wenyewe,je na yeye ni mwenyewe ?
Mkuu fungua link hii umsome Boniface Jacob kuhusu Thadeo Ole MushiDaaah ! Afadhali !
Ungeandika wana-CCM.Hawaachiani hata maji ya kunywa mezani.Tanzania ni nchi ngumu sana duniani.
Kwa nje watu wanatabasamu lakini moyoni wamenuna..
Wameja uuaji
Wamejaa chuki
Wana gumu na visirani.
Muogope sana Mtanzania anayekuchekea ni hatari kuliko Simba na dubu
ok sawaNimeona X-Mayor wa Ubungo Bwana Jacob akiripoti kwamba OLe MUSHI anaumwa na inasadikiwa amepewa sumu. Inaelezwa kuugua kwake ni siri na yupo Sehemu ya siri; wanadai wanasiasa wenzake wamemtenga na hakuna juhudi za kumfikisha hospital.
Nitoe rai kwa wanaohusika au familia watoke adharani kusema na jamii kuondoa uzushi huu unaolenga kubomoa taswira njema ya serikali ya kuwalinda wakosoaji wake. Serikali imejipambanua wazi kwamba haitishwi na wakosoaji hivyo ni vigumu wakosoaji wakapata madhara kiafya kisa wamesema vibaya chama au serikali.
Lakini pia nitoe wito kwa wanachama wa CCM kujiamini na kutosubiri maelekezo yakumsaidia binadamu anapopatwa na matatizo. Wenzenu CHadema wamewezaje kuwa wasemaji wema kwa wana CCM wanapougua au kupata majanga? Kwanini CHadema wawe wakwanza kutoa taarifa za msaada kwa mwana CCM?
Nape alipopata msaada marafiki wote wakamkimbia wakabaki wana harakati na CHadema kumsemea, same applies to mzee Kinana na hata akina polepole. Ninyi wahanga wanufaika wa siasa mnakosaje kujifunza kwa wenzenu?
Siasa zinapofika mahali zikakunyima uhuru wa kwenda msibani ,hospital au kwa mwanadamu mwenzako anayepitia kadhia flan basi hizo fikra za siasa zimekutenga na roho wa Mungu.
Kama ni kweli Ole MUSHI unaumwa tukutakie afya njema . Usisite kujitokeza kuomba msaada maana watu wema bado wapo na wanasubiri wito wako.