Wadau waulizia alipo Mwana CCM Thadei Ole Mushi

Dah hakika ule mwandiko hakuwa wa Ole Mushi

Inafikirisha na rumours zilizopo. Mazingira yanaonyesha wamemuua
 
Kama hazina Kama hii itapotezwa kisa siasa basi tuna safari ndefu ya kwenda .

Malisa Gj na Thadei Mushi ni hazina Kwa Taifa Sana I Appreciate them .
 
Dah hakika ule mwandiko hakuwa wa Ole Mushi

Inafikirisha na rumours zilizopo. Mazingira yanaonyesha wamemuua
Ratiba ya mazishi ya ndugu @ole_mushi

Ibada ya kuaga mwili itafanyika kanisa la St.Peters Oysterbay leo saa 5 kamili asubuhi hadi saa 7 mchana.

Baada ya hapo mwili utapelekwa airport ukisindikizwa na ndugu wa karibu pamoja na mke wake.

Mwili utawasili KIA saa moja na nusu jioni na utapokelewa na wanafamilia waliopo Moshi na baadhi ya waliotoka Dar.

Mwili utaenda kulala nyumbani kwao Uru, Kitandu karibu na shule ya msingi Chombo Uru.

Kesho tar.7 January 2024 maziko yatafanyika hapohapo nyumbani kwao Uru Kitandu. Kwa watu wote wanaotoka DSM kama unahitaji kusafiri kwenda Moshi wasiliana na ndugu Deo Mushi⁩ kwa nambari 0719 780 033.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumemuaga ndugu yetu @ole_mushi hapa Muhimbili. Tunasafirisha msiba leo kwenda kumpumzisha kijijini kwao Uru, Kitandu. Tunamshukuru Mungu kwa maisha yake hapa duniani. Japo yalikua mafupi lakini yalikua ya msaada kwa wengi. Mungu ampumzishe kwa amani [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe walishikilia hadi account
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…