sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Narudia tena..
1. Hivi Wadau wa kandanda mnamuona kweli Ajibu?.
2. Hivi mna taarifa kua kwa sasa katika VPL hakuna deadly straika kama Ajibu?
Hebu imagine.. Kijana wa kitanzania [mwenye umri wa miaka 20 tu] anafanya haya katika ligi kuu ya Tanzania [miongoni mwa ligi ngumu ukanda kabisa huu wa CECAFA].
1. Katika misimu yake miwili tu katika VPL.. Ajibu ana hat-trick 2!!
2. Katika mechi 2 zilizopita za VPL.. Ajibu ana Goli 5!!
3. Katika mechi 3 zilizopita za VPL + 1 ya Kirafiki.. Ajibu ana goli 6!!
4. Leo kainyanyasa ipasavyo defence bora kabisa kwa sasa katika VPL.. inayoongozwa na beki bora kuwahi kushuhudiwa katika VPL.. Pascal Wawa!!
KWENU WADAU.
Tumekua tukilalamika Mara kibao kua hatuna "mtupiaji" katika Kikosi chetu cha Taifa.. Nadhani sasa upele umepata mkunaji, tena mkunaji haswaa.. Na mkunaji mwenyewe ni Ibrahim Ajibu.. Asante Mola kwa kutuletea huyu kijana katika wakati muafaka.
KWAKO Master MKWASA.
Najua ni kwa kiasi gani una kubali kipaji cha Ajibu.. na hii inajidhihirisha kwa kumjumuisha katika Kikosi chako kila Mara. Ila ni mda muafaka wa wa kumuamini zaidi na kumuweka moja kwa moja katika 1st eleven.
Ibrahim Ajibu ni kipaji adhimu kwa sasa katika ardhi yetu ya Tanzania.. Tunatakiwa Tukitunze na Tukilinde ili soon tuweze kujivunia kama tunavyofanya kwa Samata na Thomas.
Nakutakia mafanikio Mema, Ibrahim Ajibu a.k.a Mzee wa Ma Hat-Trick
1. Hivi Wadau wa kandanda mnamuona kweli Ajibu?.
2. Hivi mna taarifa kua kwa sasa katika VPL hakuna deadly straika kama Ajibu?
Hebu imagine.. Kijana wa kitanzania [mwenye umri wa miaka 20 tu] anafanya haya katika ligi kuu ya Tanzania [miongoni mwa ligi ngumu ukanda kabisa huu wa CECAFA].
1. Katika misimu yake miwili tu katika VPL.. Ajibu ana hat-trick 2!!
2. Katika mechi 2 zilizopita za VPL.. Ajibu ana Goli 5!!
3. Katika mechi 3 zilizopita za VPL + 1 ya Kirafiki.. Ajibu ana goli 6!!
4. Leo kainyanyasa ipasavyo defence bora kabisa kwa sasa katika VPL.. inayoongozwa na beki bora kuwahi kushuhudiwa katika VPL.. Pascal Wawa!!
KWENU WADAU.
Tumekua tukilalamika Mara kibao kua hatuna "mtupiaji" katika Kikosi chetu cha Taifa.. Nadhani sasa upele umepata mkunaji, tena mkunaji haswaa.. Na mkunaji mwenyewe ni Ibrahim Ajibu.. Asante Mola kwa kutuletea huyu kijana katika wakati muafaka.
KWAKO Master MKWASA.
Najua ni kwa kiasi gani una kubali kipaji cha Ajibu.. na hii inajidhihirisha kwa kumjumuisha katika Kikosi chako kila Mara. Ila ni mda muafaka wa wa kumuamini zaidi na kumuweka moja kwa moja katika 1st eleven.
Ibrahim Ajibu ni kipaji adhimu kwa sasa katika ardhi yetu ya Tanzania.. Tunatakiwa Tukitunze na Tukilinde ili soon tuweze kujivunia kama tunavyofanya kwa Samata na Thomas.
Nakutakia mafanikio Mema, Ibrahim Ajibu a.k.a Mzee wa Ma Hat-Trick