Wadau wenzangu wa Forex...

Wadau wenzangu wa Forex...

Trade na broker makini na mzuri anayekubali hata kwa currency za East Africa TSH,KES na UGX na waweza kutrade hata kama una pesa kidogo ya kuanza kutrade real acc unaweza kuanza hata kwa kuweka Tsh 50,000 na kwenye MT5 inasoma hivyo hiyo kwa maana kuwa utatrade kwa Tsh hivyo kukufanya uwe safe hata kuunguza inakuwa ni ngumu
Broker anaitwa AMbroker

Unaposajiri unaweza chagua hata Kenya Shillings ambayo Tsh 50000 ni sawa na Ksh 2,256 hata kwa broker inasoma hivyo hivyo

NB:Badala ya kutumia cent acc zenye spreads kubwa hii inaweza kuwa suruhu lkn pia kuna pair pendwa ya NASDAQ ambayo inakubali kutrade hata lot ya 0.10 tofauti na broker wengine wanaotaka uanze na lot ya 1 tu

KUMBUKA KUWEKA NA KUTOA NI KWA M-PESA KUPITIA IPAY AFRICA

Habari njema ni kuwa kama hutumii bank kwe kuweka na kutoa unaruhusiwa kuverify kitambulisho (ID) yako na unaweza kutoa pesa yako muda wowote kwa wepesi zaidi

Endeleeni kufurahia pamoja na ambroker
Mkuu, embu kuwa na huruma na pesa za watu. Hizo hapo chini ni reviews za AMBroker


AMBroker (Ambroker.com) is a Crypto currency and Forex broker scam ready to rip off investors who sign up


 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer https://secure.templerfx.com/main?rid=107946
 
Ni kweli, ila kuna ushauri mzuri pia so unachukua ya msingi na mabaya unayaacha
KAMA UNATAKA KUTRADE FOREX ACHANA NA POROJO ZA HAPA JF TAFADHALI
DISTANCE YOURSELF FROM NEGATIVITY
 
hiyo simu unayotumia nayo ni mtandao wa kishetani. Nachelea kusema unatumia kichwa chako kufugia tu nywele
Forex ni mitandao ya kishetani tu hio

Fanya kazi jitume usiangalie watu wanakuangaliaje

Watanzania tunapenda usharobaro sana

Tembeza vitu uza kwa juhudi tafuta kazi ata
Beba ata tofali if possible ACHENI kupenda mafanikio ya haraka fanya kazi kwa bidii

NARUDIA BIDII NA ULINZI WA MUNGU VINATOSHA SANA


Achana na ujinga huo wezi tu hao
 
Iyo sio biashara mkuu
Kumtafuta mtu Ili upate hela kupitia mtu huyo ni biashara kweli tena sio mtu watu wawili

Yaani kweli kabisaaa!!
Wewe ni zuzu. Kwa hiyo hayo maelezo uliyoandika hapo ndio forex?

Bora baba yako angevaa condom tu.
 
Kwa wale ambao hawana mitaji ya kutrade forex
Kuna kitu kinaitwa BONUS
, Hii Ni hela ambayo broker anakupa bure ili uweze kutrade na ukipata faida unaitoa Kama kawaida endapo utakidhi vigezo na masherti ya bonus hiyo..

Sasa TEMPLERFX anatoa $30 Kama bonus kwa wale ambao wamekosa mtaji wa kufund account zao .
Inaitwa $30 NON DEPOSIT BONUS

Vigezo na masherti ya kupata NON DEPOSIT BONUS KUTOKA TEMPLERFX.

1.Unatakiwa ujisajili na broker TEMPLERFX.

2. Kisha uverify Taarifa zako Kama EMAIL, NAMBA YA SIMU na KITAMBULISHO CHAKO .
Ndani ya masaa 72 baada ya kuwatumia picha ya kitambulisho chako watakuwa wameverify account yako.

3.Bonus Request
Baada ya kumaliza kujisajili pamoja na Mambo ya verification , utaclick BONUS , Hafu Utaclick "Request NDB $30"
Baada ya hapo utapokea email yenye Login details ya account yako mpya ambayo imepatiwa hiyo $30 , utacopy zile details hafu utaenda kwenye platform ya mt4 utazi-paste . Anza kutrade.

ILI UWEZE KUWITHDRAW BONUS BAADA YA KUTRADE Inatakiwa ufuate masherti yafuatayo.
1.Bonus utakayopewa Ni valid kwa siku 30 tu, baada ya hapo haitakuwa valid Tena. Kwa hiyo itabidi utrade ndani ya siku hizo 30.

2. Unaruhusiwa kutoa faida utakayoipata baada ya kutrade kwa trades zenye volume lot size 5 (5 lots) ndani ya hizo siku 30.
Hapa naomba nielekeze kidogo .
Sio kwamba unalatakiwa Kutumia 5 lotsize utakavyoopen trade yako .
Bali lotsize yoyote unaruhusiwa Ila baada ya siku 30 lotsize ulizokuwa unatumia jumla zifikie sawa na Lot size 5 au zaidi.

Tuchukulie utatumia lotsize ya 0.01 itabid utrade na hiyo lotsize Mara 500 ndani ya siku hizo 30.

Kama utaamua Kutumia lotsize ya 0.05 itabidi utrade kwa Kutumia hiyo lotsize Mara 100 ndani ya hizo siku 30.

Kama utatumia lotsize ya 0.10 itabidi utrade na hiyo lotsize Mara 50 ndani ya hizo siku 30.

Unaruhusiwa kubadilisha lotsize kadri ya utakavyoona opportunity yako imekaaje sokoni ,sio kwamba ukianza na lotsize ya 0.05 ndo utumie hiyohyo tu Hadi siku 30 hapana , unaruhusiwa kubadilisha , Ila baada ya siku 30 jumla ya lotsize ulizotumia zifikie sawa na 5 lotsize.

[emoji1485]Kumbuka BONUS hii unapewa Mara moja tu .
[emoji1485] Yeyote aliyejisajiri TEMPLERFX anaruhusiwa kuomba bonus hii na anapata endapo Taarifa zake zimeshaverified
[emoji1485] Profit na bonus ndo unaweza kuwithdraw pamoja na kufanya internal transfer Kama umekidhi vigezo na masherti.

Kama hujajisajiri TEMPLERFX unaweza kujisajili Sasa kwa kubonyeza link hii ili kupata bonus Sign up - TemplerFX members area
Hii ni ngumu sana kutoa faida
 
For telegram user

Anayehitaji kujifunza
*forex basic
*advanced course,candlestic pattern and pysology behind its formation
*Supply and demand strategy

ajoin telegram chanel

👇🏽
Forex lesson tanzania (swahili)
 
Back
Top Bottom