Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji38][emoji38][emoji38]
Duh hii mpya kuiskia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hii mpya kuiskia
Mkuu, embu kuwa na huruma na pesa za watu. Hizo hapo chini ni reviews za AMBrokerTrade na broker makini na mzuri anayekubali hata kwa currency za East Africa TSH,KES na UGX na waweza kutrade hata kama una pesa kidogo ya kuanza kutrade real acc unaweza kuanza hata kwa kuweka Tsh 50,000 na kwenye MT5 inasoma hivyo hiyo kwa maana kuwa utatrade kwa Tsh hivyo kukufanya uwe safe hata kuunguza inakuwa ni ngumu
Broker anaitwa AMbroker
AM Broker: Online Trading, Money Management, Partnerships
AM Broker offers over 50 forex currency pairs, stocks, indices, ETFs commodities, and cryptocurrencies for your personal investment and trading options.www.ambroker.com
Unaposajiri unaweza chagua hata Kenya Shillings ambayo Tsh 50000 ni sawa na Ksh 2,256 hata kwa broker inasoma hivyo hivyo
NB:Badala ya kutumia cent acc zenye spreads kubwa hii inaweza kuwa suruhu lkn pia kuna pair pendwa ya NASDAQ ambayo inakubali kutrade hata lot ya 0.10 tofauti na broker wengine wanaotaka uanze na lot ya 1 tu
KUMBUKA KUWEKA NA KUTOA NI KWA M-PESA KUPITIA IPAY AFRICA
Habari njema ni kuwa kama hutumii bank kwe kuweka na kutoa unaruhusiwa kuverify kitambulisho (ID) yako na unaweza kutoa pesa yako muda wowote kwa wepesi zaidi
Endeleeni kufurahia pamoja na ambroker
AM Broker: Online Trading, Money Management, Partnerships
AM Broker offers over 50 forex currency pairs, stocks, indices, ETFs commodities, and cryptocurrencies for your personal investment and trading options.www.ambroker.com
www.forexbrokerz.com
Kizuri chajiuza (malizia).Duh hii mpya kuiskia
👆👆Ni kweli, ila kuna ushauri mzuri pia so unachukua ya msingi na mabaya unayaacha
kichwa chako kinafanya kazi moja tu Nahyo ni kufugia nywelesawa.ila forex sio Biashara.
Ni sawa na Kamari.
Muda wowote unalia.
Mimi nakomaa na strategy ya BTMM!
Forex ni mitandao ya kishetani tu hio
Fanya kazi jitume usiangalie watu wanakuangaliaje
Watanzania tunapenda usharobaro sana
Tembeza vitu uza kwa juhudi tafuta kazi ata
Beba ata tofali if possible ACHENI kupenda mafanikio ya haraka fanya kazi kwa bidii
NARUDIA BIDII NA ULINZI WA MUNGU VINATOSHA SANA
Achana na ujinga huo wezi tu hao
Akili za kilokole hizi. Unaongea ujinga tuAchana na ujinga wakutafuta watu piga kazi ww
Maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile sio asiyetafuta watu kujiunga kwenye
Forex=SHETANI
Fanya kazi ww
Kamali izo ww
Wewe ni zuzu. Kwa hiyo hayo maelezo uliyoandika hapo ndio forex?Iyo sio biashara mkuu
Kumtafuta mtu Ili upate hela kupitia mtu huyo ni biashara kweli tena sio mtu watu wawili
Yaani kweli kabisaaa!!
mkuu naweza kuja PM may be unaweza kuwa na cha kunisaidia kuhusu hii strategy
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe ni zuzu. Kwa hiyo hayo maelezo uliyoandika hapo ndio forex?
Bora baba yako angevaa condom tu.
Hii ni ngumu sana kutoa faidaKwa wale ambao hawana mitaji ya kutrade forex
Kuna kitu kinaitwa BONUS
, Hii Ni hela ambayo broker anakupa bure ili uweze kutrade na ukipata faida unaitoa Kama kawaida endapo utakidhi vigezo na masherti ya bonus hiyo..
Sasa TEMPLERFX anatoa $30 Kama bonus kwa wale ambao wamekosa mtaji wa kufund account zao .
Inaitwa $30 NON DEPOSIT BONUS
Vigezo na masherti ya kupata NON DEPOSIT BONUS KUTOKA TEMPLERFX.
1.Unatakiwa ujisajili na broker TEMPLERFX.
2. Kisha uverify Taarifa zako Kama EMAIL, NAMBA YA SIMU na KITAMBULISHO CHAKO .
Ndani ya masaa 72 baada ya kuwatumia picha ya kitambulisho chako watakuwa wameverify account yako.
3.Bonus Request
Baada ya kumaliza kujisajili pamoja na Mambo ya verification , utaclick BONUS , Hafu Utaclick "Request NDB $30"
Baada ya hapo utapokea email yenye Login details ya account yako mpya ambayo imepatiwa hiyo $30 , utacopy zile details hafu utaenda kwenye platform ya mt4 utazi-paste . Anza kutrade.
ILI UWEZE KUWITHDRAW BONUS BAADA YA KUTRADE Inatakiwa ufuate masherti yafuatayo.
1.Bonus utakayopewa Ni valid kwa siku 30 tu, baada ya hapo haitakuwa valid Tena. Kwa hiyo itabidi utrade ndani ya siku hizo 30.
2. Unaruhusiwa kutoa faida utakayoipata baada ya kutrade kwa trades zenye volume lot size 5 (5 lots) ndani ya hizo siku 30.
Hapa naomba nielekeze kidogo .
Sio kwamba unalatakiwa Kutumia 5 lotsize utakavyoopen trade yako .
Bali lotsize yoyote unaruhusiwa Ila baada ya siku 30 lotsize ulizokuwa unatumia jumla zifikie sawa na Lot size 5 au zaidi.
Tuchukulie utatumia lotsize ya 0.01 itabid utrade na hiyo lotsize Mara 500 ndani ya siku hizo 30.
Kama utaamua Kutumia lotsize ya 0.05 itabidi utrade kwa Kutumia hiyo lotsize Mara 100 ndani ya hizo siku 30.
Kama utatumia lotsize ya 0.10 itabidi utrade na hiyo lotsize Mara 50 ndani ya hizo siku 30.
Unaruhusiwa kubadilisha lotsize kadri ya utakavyoona opportunity yako imekaaje sokoni ,sio kwamba ukianza na lotsize ya 0.05 ndo utumie hiyohyo tu Hadi siku 30 hapana , unaruhusiwa kubadilisha , Ila baada ya siku 30 jumla ya lotsize ulizotumia zifikie sawa na 5 lotsize.
[emoji1485]Kumbuka BONUS hii unapewa Mara moja tu .
[emoji1485] Yeyote aliyejisajiri TEMPLERFX anaruhusiwa kuomba bonus hii na anapata endapo Taarifa zake zimeshaverified
[emoji1485] Profit na bonus ndo unaweza kuwithdraw pamoja na kufanya internal transfer Kama umekidhi vigezo na masherti.
Kama hujajisajiri TEMPLERFX unaweza kujisajili Sasa kwa kubonyeza link hii ili kupata bonus Sign up - TemplerFX members area