Wadau wenzangu wa Forex...

Mkuu, embu kuwa na huruma na pesa za watu. Hizo hapo chini ni reviews za AMBroker


AMBroker (Ambroker.com) is a Crypto currency and Forex broker scam ready to rip off investors who sign up


 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer https://secure.templerfx.com/main?rid=107946
 
Ni kweli, ila kuna ushauri mzuri pia so unachukua ya msingi na mabaya unayaacha
KAMA UNATAKA KUTRADE FOREX ACHANA NA POROJO ZA HAPA JF TAFADHALI
DISTANCE YOURSELF FROM NEGATIVITY
 
hiyo simu unayotumia nayo ni mtandao wa kishetani. Nachelea kusema unatumia kichwa chako kufugia tu nywele
 
Achana na ujinga wakutafuta watu piga kazi ww
Maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile sio asiyetafuta watu kujiunga kwenye

Forex=SHETANI
Akili za kilokole hizi. Unaongea ujinga tu
 
Iyo sio biashara mkuu
Kumtafuta mtu Ili upate hela kupitia mtu huyo ni biashara kweli tena sio mtu watu wawili

Yaani kweli kabisaaa!!
Wewe ni zuzu. Kwa hiyo hayo maelezo uliyoandika hapo ndio forex?

Bora baba yako angevaa condom tu.
 
Hii ni ngumu sana kutoa faida
 
For telegram user

Anayehitaji kujifunza
*forex basic
*advanced course,candlestic pattern and pysology behind its formation
*Supply and demand strategy

ajoin telegram chanel

πŸ‘‡πŸ½
Forex lesson tanzania (swahili)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…