Wadogo zangu kabla hujaanza mahusiano na mwanamke.

Wadogo zangu kabla hujaanza mahusiano na mwanamke.

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
618
Reaction score
1,440
Wadogo zangu kabla hujaanza mahusiano na mwanamke, hakikisha anaweza kula kwa kipato chake mwenyewe. Hakuna kuanza uhusiano na mtu anayekuomba mtaji, umkute bize na mambo yake ndiyo umpe support. Unaweza kudhani umepata mpenzi kumbe mwenzio kapata pa kuhemea. Kila mtu anastahili kupata kilicho bora.

Sema ndiyo kaka

Mwl. Dogoli kinyamkela
 
Usimpe mtaji mwanamke ambaye hujawahi kumuona anafanya biashara wala usisaidie kulipa marejesho ambayo hukushirikishwa wakati wa kukopa.
 
mwenzenu mwanajf napenda totoz za elfu mbili mazee...tuko vizurii
FB_IMG_1732985289996.jpg
 
Wadogo zangu kabla hujaanza mahusiano na mwanamke, hakikisha anaweza kula kwa kipato chake mwenyewe. Hakuna kuanza uhusiano na mtu anayekuomba mtaji, umkute bize na mambo yake ndiyo umpe support. Unaweza kudhani umepata mpenzi kumbe mwenzio kapata pa kuhemea. Kila mtu anastahili kupata kilicho bora.

Sema ndiyo kaka

Mwl. Dogoli kinyamkela
'Sema ndiyo kaka''
Saikologia ya kufundishia watoto mashuleni unaileta Jf!

Mazoea yanalemaza na kubwetesha akiyamungu.

Ndiyo maana wengi mkishakustaafu, 'mnavuta' hata kabla ya kuishi maisha holela kwa miaka mitano!

Yaani Jf nzima iitikie hicho kibwagizo cha wanafunzi kwa prefect wao 'cha ndiyo kaka' kweli!
Yaani sisi!
Eebwana ebonyeza sana.
 
'Sema ndiyo kaka''
Saikologia ya kufundishia watoto mashuleni unaileta Jf!

Mazoea yanalemaza na kubwetesha akiyamungu.

Ndiyo maana wengi mkishakustaafu, 'mnavuta' hata kabla ya kuishi maisha holela kwa miaka mitano!

Yaani Jf nzima iitikie hicho kibwagizo cha wanafunzi kwa prefect wao 'cha ndiyo kaka' kweli!
Yaani sisi!
Eebwana ebonyeza sana.
Mbona makasiriko mkuu 😂😂
 
Mahusiano wewe Ya nini sasa Wakati We Mwenyewe bado Huna hela.?

Fanya Kazi Wewe..! Hakuna Mahusiano Ya one way traffic, Mahusiano ni nipe nikupe.!

Mzee Kikwete aliwahi kutoa Rai....Ukitaka kula, na Wewe Uliwe kidogo
 
Mtoa mada umesema vizuri wanawake omba omba wanakera sana .
Wazazi wawape watoto wao wa kike mitaji Ili wafanye biashara itasaidia mtoto wa kike kutokuwa omba omba katika mahusiano.
 
Mtoa mada umesema vizuri wanawake omba omba wanakera sana .
Wazazi wawape watoto wao wa kike mitaji Ili wafanye biashara itasaidia mtoto wa kike kutokuwa omba omba katika mahusiano.
👏🏾👏🏾👏🏾
 
Back
Top Bottom