covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Kipindi hiko sherehe ni sherehe kweli Christmas, iddy kubwa na ndogo sijui sabasaba na nanenane zilikuwa zinaheshimiwa sana na ilikuwa fahari kupika pilau siku ya nanenane au sabasaba.Daaaah! Basi enzi hizo mambo yalikuwa ni fire[emoji91] najaribu kuvuta picha vijana na watoto wa enzi sijui mlikuwa na muonekano wa Aina gani? Naipenda sana historia ya Tanzania Kuna kitu najifunza.Bila kusahau redio Tanzania RTD.daaah kweli ya kale ni dhahabu ngoja nivute kiti nikae ndio Kwanza mjadala umepamba moto[emoji411][emoji448][emoji343][emoji991][emoji1241]