Wadogo zangu, kabla TV hazijaja enzi hizo mgeni alikuwa anapewa album atazame picha za zamani. Yaani umpe Mtanzania album asichomoe picha hata moja?

Yale madebe yaliandikwa Korie, palikuwa na picha ya mwanaume aliyevalia nguo na kofia nyeupe(mavazi ya wapishi)
Daaah kweli kabisa mkuu, siku hizi hayapo tena mzee baba watu wanapikia mafuta ya alizeti na michikichi
 
Kwani smartphone zimetoka mwaka gani, mbona kama dharau zinazidi ? ..
 
Santuri ndio LP?
 
Umenikumbusha enzi zetu tuliozaliwa kijijini .
Wakati ule hakukuwa na toilet paper wala nini.
Ukimaliza kujisaidia haja kubwa unaburuzwa kwenye mchanga tu ( gushenenha)ndo imetoka.
Ndio maana sisi wakulungwa gozi ya makalio yetu ni kama ngozi ya limao.
Kadhalika, kaptula zetu za khaki zilikuwa na ukoko fulani (ngukulu) pale kwenye maungio ya mfereji wa makalio maana wakati ule kuvaa chupi ilikuwa ni anasa na hazikuwepo.
Kwa kweli wengine tumetoka mbali aisee.
 
Hakuna kitu nachoki miss kama drive in sinema pia enzi hizo
Tulikuwa wadg lkn tulikuwa tunatoka uswaz kuchk movie kurudi saa saba usiku
Natamani drive in ingerudi aise

Ova
Drive-in cinema si ndio ubalozi wa sasa wa USA ulipo?
 
Drive-in cinema si ndio ubalozi wa sasa wa USA ulipo?
Duh ndiyo hapo tulivyokuwa wadg tulikuwa tunaenda kuangalia sinema bubu...tunakaa njee
Kuna watu hapo wakat movie inaendelea wao ni kama wakalimani wanaadisia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kingine wale wasafiri wenzangu na mie wa zamani issue yoyote ya picha ubalozini especially hzi za us na ulaya tulikuwa tunaambiwa twende kifotoa akber photos studio zanaki basi si foleni hapo
Mhindi yule alipiga sana hela wakat ule

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Drive-in cinema si ndio ubalozi wa sasa wa USA ulipo?
Ila ndani nishazamia sanaa watu wanapaki magari wanachk movie
Ila za mwiizi arobaini kna siku nlizamiaa mule
Mlinzi akatuotea wacha tuchezeee vibaoo na polisi juu tukapelekwa polisi wakaturudisha uswaz tulikula sana makonzi sijasahau hyoo mpaka leo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Bruce leee ndo daaa!
 
Wengine wanatumia kishirikina halafu unashangaa kwanini maisha hayasongii
 
Umenena vyema. Tatizo la picha za enzi zile ni pale unapoambiwa picha yako iliingua. Sasa fikiria hiyo picha ilikuwa ya kumbukumbu ya harusi yako na huwezi tena kuirudia kwani wote waliokuwepo siku Ile wamesharudi makwao!. Sina uhakika kama vijana wamenipata hapo. Kuungua kwa picha ni pale Ile negative inakuwa nyeusi kabisa na ukiisafisha kutoa positive inakuwa nyeupe pee. Halafu sijui kama hata hiyo negative na positive wanaijua? Hiyo negative ni Ile itokayo kwenye kamera ili isafishwe na kuwa positive ambayo ndiyo picha utakayoiona. Na mtiririko mzima unaweza kuchukua hata miezi miwili kwani kumaliza utepe mmoja wa filamu ilikuwa kazi kwelikweli si kila mmoja alikuwa na uwezo wa kupiga picha. Kweli tumetoka mbali.
 
Halafu nyuma ya picha ndio tulikua tuna andika kwa kalamu tarehe ya siku ambayo picha hiyo imepigwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…