Wadogo zangu msisome Degree za Afya na Elimu

Hiyo kweli mkuu, nina mdogoangu nae ana degree ya ualimu kahangaika mwisho katulia na kasaluni kake kamtaani maisha yaende
 
Atakae kubishia, huyo atakuwa na sababu zake binafsi.
 
Kama Unaenda chuo kusoma kwa matakwa ya wanasiasa unabidi kujitafakari Sana.


Mimi mtoto wangu lazima asome degree ya Afya MD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…