Wadogo zangu msisome Degree za Afya na Elimu

Wadogo zangu msisome Degree za Afya na Elimu

Hi wakuu,

Mimi ni mwananchi wa kawaida nimejiajiri maisha yanaenda.
Nakuja na ushauri wenye ushaidi kuonyesha ya kwamba kusoma degree ya ualimu na afya Tanzania, ni kupoteza muda hasa wanaopenda kuajiriwa serikalini.

kwenye ajira za ualimu nina wadogo zangu. Wale wote waliosoma certificate in primary education wote wameajiriwa, Waliitimu (2016 and 2017 )

Dogo langu mmoja aliferi form six hakupata marks za kwenda chuo kikuu, alienda Monduli teachets collage na kisoma diploma in secondary aliitimu 2019, ameajiriwa na serikali.

Sasa kuna watoto wa ndugu zangu wamesoma degreee za ualimu wa sayansi, mmoja kamaliza 2016 na mwingine 2017, wote wapo kitaa wamepauka hawana ajira. Serikali haitaki kuajiri walimu wa science wa degree, wakati ndo walifahuru vizuri.

Sasa baada ya maisha kuwapiga wenye degree imebidi wadogo zao waliosoma certificate na kuajiriwa serikalini wachukue mkopo na kuwapa kaka zao ili wawe ata machinga.

Kwenye afya hivyo hivyo, serikali kama ni nursing inajaza wenye certificate na diploma, wa degree wanabaki kitaa na kipauka.

Wadogo zangu someni certificate na diploma za elimu na Afya kama unataka kupata haraka ajira za serikali.

NB: serikali ya CCM na Samia haitaki wataalamu wenye shahada.

Ukibisha njoo na data
Usiwavunje nguvu vijana, acha wasome kwanza mambo ya Ajira ni mbele kwa mbele. Siungi mkono hoja!!😡
 
Wakati huku wanapewa posho, labda huko kwenu ufala au ujakutana na wanaojitolea , baadaye wanapewa ajira za mkataba, labda Kama mpo mbali na hospital za rufaa, we sema ufala wakat ni mbinu ya kuwa karibu, wanapotangaza kwenye ubao kazi wanachukuliwa wale wa ndani.
Kazi za kwenye ubao
 
Hi wakuu,

Mimi ni mwananchi wa kawaida nimejiajiri maisha yanaenda.
Nakuja na ushauri wenye ushaidi kuonyesha ya kwamba kusoma degree ya ualimu na afya Tanzania, ni kupoteza muda hasa wanaopenda kuajiriwa serikalini.

kwenye ajira za ualimu nina wadogo zangu. Wale wote waliosoma certificate in primary education wote wameajiriwa, Waliitimu (2016 and 2017 )

Dogo langu mmoja aliferi form six hakupata marks za kwenda chuo kikuu, alienda Monduli teachets collage na kisoma diploma in secondary aliitimu 2019, ameajiriwa na serikali.

Sasa kuna watoto wa ndugu zangu wamesoma degreee za ualimu wa sayansi, mmoja kamaliza 2016 na mwingine 2017, wote wapo kitaa wamepauka hawana ajira. Serikali haitaki kuajiri walimu wa science wa degree, wakati ndo walifahuru vizuri.

Sasa baada ya maisha kuwapiga wenye degree imebidi wadogo zao waliosoma certificate na kuajiriwa serikalini wachukue mkopo na kuwapa kaka zao ili wawe ata machinga.

Kwenye afya hivyo hivyo, serikali kama ni nursing inajaza wenye certificate na diploma, wa degree wanabaki kitaa na kipauka.

Wadogo zangu someni certificate na diploma za elimu na Afya kama unataka kupata haraka ajira za serikali.

NB: serikali ya CCM na Samia haitaki wataalamu wenye shahada.

Ukibisha njoo na data
Mbona EU wanaajiri sekta afya
 
Sisi ambao tuna graduate na shahada ya geography n environmental studies sijuhi itakuwaje
 
Hi wakuu,

Mimi ni mwananchi wa kawaida nimejiajiri maisha yanaenda.
Nakuja na ushauri wenye ushaidi kuonyesha ya kwamba kusoma degree ya ualimu na afya Tanzania, ni kupoteza muda hasa wanaopenda kuajiriwa serikalini.

kwenye ajira za ualimu nina wadogo zangu. Wale wote waliosoma certificate in primary education wote wameajiriwa, Waliitimu (2016 and 2017 )

Dogo langu mmoja aliferi form six hakupata marks za kwenda chuo kikuu, alienda Monduli teachets collage na kisoma diploma in secondary aliitimu 2019, ameajiriwa na serikali.

Sasa kuna watoto wa ndugu zangu wamesoma degreee za ualimu wa sayansi, mmoja kamaliza 2016 na mwingine 2017, wote wapo kitaa wamepauka hawana ajira. Serikali haitaki kuajiri walimu wa science wa degree, wakati ndo walifahuru vizuri.

Sasa baada ya maisha kuwapiga wenye degree imebidi wadogo zao waliosoma certificate na kuajiriwa serikalini wachukue mkopo na kuwapa kaka zao ili wawe ata machinga.

Kwenye afya hivyo hivyo, serikali kama ni nursing inajaza wenye certificate na diploma, wa degree wanabaki kitaa na kipauka.

Wadogo zangu someni certificate na diploma za elimu na Afya kama unataka kupata haraka ajira za serikali.

NB: serikali ya CCM na Samia haitaki wataalamu wenye shahada.

Ukibisha njoo na data
Upuuzi
 
Kwa Fikra zako kwanini watu wanasoma ?!!!!

By the way.....

 
Hi wakuu,

Mimi ni mwananchi wa kawaida nimejiajiri maisha yanaenda.
Nakuja na ushauri wenye ushaidi kuonyesha ya kwamba kusoma degree ya ualimu na afya Tanzania, ni kupoteza muda hasa wanaopenda kuajiriwa serikalini.

kwenye ajira za ualimu nina wadogo zangu. Wale wote waliosoma certificate in primary education wote wameajiriwa, Waliitimu (2016 and 2017 )

Dogo langu mmoja aliferi form six hakupata marks za kwenda chuo kikuu, alienda Monduli teachets collage na kisoma diploma in secondary aliitimu 2019, ameajiriwa na serikali.

Sasa kuna watoto wa ndugu zangu wamesoma degreee za ualimu wa sayansi, mmoja kamaliza 2016 na mwingine 2017, wote wapo kitaa wamepauka hawana ajira. Serikali haitaki kuajiri walimu wa science wa degree, wakati ndo walifahuru vizuri.

Sasa baada ya maisha kuwapiga wenye degree imebidi wadogo zao waliosoma certificate na kuajiriwa serikalini wachukue mkopo na kuwapa kaka zao ili wawe ata machinga.

Kwenye afya hivyo hivyo, serikali kama ni nursing inajaza wenye certificate na diploma, wa degree wanabaki kitaa na kipauka.

Wadogo zangu someni certificate na diploma za elimu na Afya kama unataka kupata haraka ajira za serikali.

NB: serikali ya CCM na Samia haitaki wataalamu wenye shahada.

Ukibisha njoo na data

NAUNGA MKONO HOJA.
 
Hi wakuu,

Mimi ni mwananchi wa kawaida nimejiajiri maisha yanaenda.
Nakuja na ushauri wenye ushaidi kuonyesha ya kwamba kusoma degree ya ualimu na afya Tanzania, ni kupoteza muda hasa wanaopenda kuajiriwa serikalini.

kwenye ajira za ualimu nina wadogo zangu. Wale wote waliosoma certificate in primary education wote wameajiriwa, Waliitimu (2016 and 2017 )

Dogo langu mmoja aliferi form six hakupata marks za kwenda chuo kikuu, alienda Monduli teachets collage na kisoma diploma in secondary aliitimu 2019, ameajiriwa na serikali.

Sasa kuna watoto wa ndugu zangu wamesoma degreee za ualimu wa sayansi, mmoja kamaliza 2016 na mwingine 2017, wote wapo kitaa wamepauka hawana ajira. Serikali haitaki kuajiri walimu wa science wa degree, wakati ndo walifahuru vizuri.

Sasa baada ya maisha kuwapiga wenye degree imebidi wadogo zao waliosoma certificate na kuajiriwa serikalini wachukue mkopo na kuwapa kaka zao ili wawe ata machinga.

Kwenye afya hivyo hivyo, serikali kama ni nursing inajaza wenye certificate na diploma, wa degree wanabaki kitaa na kipauka.

Wadogo zangu someni certificate na diploma za elimu na Afya kama unataka kupata haraka ajira za serikali.

NB: serikali ya CCM na Samia haitaki wataalamu wenye shahada.

Ukibisha njoo na data
Ccm is a total failure
 
Hi wakuu,

Mimi ni mwananchi wa kawaida nimejiajiri maisha yanaenda.
Nakuja na ushauri wenye ushaidi kuonyesha ya kwamba kusoma degree ya ualimu na afya Tanzania, ni kupoteza muda hasa wanaopenda kuajiriwa serikalini.

kwenye ajira za ualimu nina wadogo zangu. Wale wote waliosoma certificate in primary education wote wameajiriwa, Waliitimu (2016 and 2017 )

Dogo langu mmoja aliferi form six hakupata marks za kwenda chuo kikuu, alienda Monduli teachets collage na kisoma diploma in secondary aliitimu 2019, ameajiriwa na serikali.

Sasa kuna watoto wa ndugu zangu wamesoma degreee za ualimu wa sayansi, mmoja kamaliza 2016 na mwingine 2017, wote wapo kitaa wamepauka hawana ajira. Serikali haitaki kuajiri walimu wa science wa degree, wakati ndo walifahuru vizuri.

Sasa baada ya maisha kuwapiga wenye degree imebidi wadogo zao waliosoma certificate na kuajiriwa serikalini wachukue mkopo na kuwapa kaka zao ili wawe ata machinga.

Kwenye afya hivyo hivyo, serikali kama ni nursing inajaza wenye certificate na diploma, wa degree wanabaki kitaa na kipauka.

Wadogo zangu someni certificate na diploma za elimu na Afya kama unataka kupata haraka ajira za serikali.

NB: serikali ya CCM na Samia haitaki wataalamu wenye shahada.

Ukibisha njoo na data
UMENENA VYEMA MKUUU
 
Back
Top Bottom