Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,270
- 2,844
Poa mduduOna uonavyo haibadilishi kitu,husaidii chochote,hauna umuhimu wowote kwao
Acha watu na mji wao,kaa kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mduduOna uonavyo haibadilishi kitu,husaidii chochote,hauna umuhimu wowote kwao
Acha watu na mji wao,kaa kwako
Vipi kuhusu jina 'chawa' ?Hilo jina wadudu linatia kichefuchefu
Mtu mdudu?
Lucas MwashambwaVipi kuhusu jina 'chawa' ?
Yote ni ujingaujingaVipi kuhusu jina 'chawa' ?
Umenena vemaZamani ilikuwa inajulikana kuna vijana wa hovyo walikuwa wakijiita wadudu wa dampo jijini Arusha ambao hasahasa walikuwa wakijihusisha na muziki wa Hiphop. Na hata wengi wao walikuwa wakivuka adolescence hubadilika na kuwa na tabia za kiutu uzima ikiwamo kuacha kujiita mdudu wa dampo. Hawakuwa na impact kubwa sana. Lakini miaka ya hivi karibuni ndo upuuzi ukaongezeka kiasi kwamba hata baadhi ya mijitu mizima inajiita WADUDU.
Kichaa anachekesha kama sio ndugu yako. Hata wadudu wanachekesha sana kama hakuna ndugu yako kwenye lile kundi la wadudu. Vijana wanajiharibu kwa kuongea, kuvaa, kutembea na mambo mengine ya hovyo ili kujipatia sifa kuwa yeye ni MDUDU WA CHUGA. Kwa sasa hizo tabia zimeenea kuanzia Arusha mjini, Monduli, Boma, Moshi, Babati, Mto wa Mbu hadi Karatu. Sio Arusha jiji peke yake. Maadili yanazidi kuvurugika.
Viongozi mnaowapa uhalali hao vijana wadogo kuwa na tabia za kishenzi hamtendi haki. Mtafurahi kuona watoto wenu nao ni WADUDU? Wewe RC utajisikiaje kumuona Keagan kwenye kundi la wadudu? Mwenyekiti wa UVCCM Arusha ni mtoto wa Meya wa jiji. Kwanini naye asiwe mwenyekiti wa wadudu kama ingekuwa ni jambo jema?
Unawashwa kinyeo?Unaongea sana?
Panya road hukuwaona
Ila huyu jomba anashambuliwa kinyama... 🤣🤣🙌🙌
Unawashwa kinyeo?
Certified chawa.Ila huyu jomba anashambuliwa kinyama... 🤣🤣🙌🙌
Chawa sio waduduHilo jina wadudu linatia kichefuchefu
Mtu mdudu?