Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Inaonekana huko nchini Uganda masuala ya "hacking" na "cyber security" yamepamba moto mno.
Wizara ya Fedha ya Uganda imethibitisha ripoti za vyombo vya habari kuhusu wadukuzi kuvamia mifumo ya Benki Kuu na kuiba fedha, lakini imekanusha madai kuwa kiasi kilichoibwa kilifikia dola milioni 17 [TZS bilioni 44.8].
“Ni kweli akaunti yetu ilidukuliwa, lakini si kwa kiwango kinachoripotiwa,” amesema Waziri wa Nchi wa Fedha, Henry Musasizi, akiongeza kuwa ripoti ya tukio hilo itakamilika ndani ya mwezi mmoja.
Soma pia: Wadukuzi wa kichina wanzisha operation maalum kuidukua Kenya
Kwa mujibu wa gazeti la New Vision linalomilikiwa na serikali, wadukuzi waliotambulika kwa jina la “Waste” walivamia mifumo ya TEHAMA ya Benki Kuu ya Uganda na kuhamisha fedha hizo kinyume cha sheria mapema mwezi huu.
Taarifa zimeeleza kuwa wadukuzi hao wanasemekana kuwa na makazi Kusini-Mashariki mwa Asia, na sehemu ya fedha hizo zimehamishiwa nchini Japan, huku ripoti zikibainisha kuwa zaidi ya nusu ya fedha zimeweza kurejeshwa kupitia juhudi za haraka za Benki Kuu.
====================================================
A senior official at Uganda's finance ministry confirmed that accounts in the country's central bank had been hacked but he downplayed the extent of the losses.
The Bank of Uganda had said late on Thursday it was awaiting a police investigation into a news report that offshore hackers stole 62 billion Ugandan shillings ($16.8 million) from the central bank.
State-owned New Vision newspaper reported on Thursday that hackers, identifying themselves as "Waste", accessed the Bank of Uganda's IT systems and illicitly transferred the funds earlier this month.
State minister for finance Henry Musasizi confirmed the hack and said the police's Criminal Investigations Department and the Auditor General were probing the incident.
"It is true our accounts were hacked into but not to the extent of what is being reported. When this happened, we instituted an audit and at the same time, and investigation," he told parliament on Thursday.
"To avoid misrepresentation of facts, I wish to indulge the House that we be patient that when the audit is finalised, which is now at the tail-end, I come and report."
The hacking group, based in Southeast Asia, sent part of the stolen money to Japan, New Vision said, citing unnamed sources at the bank.
New Vision said the central bank had successfully recovered over half of the money from the hackers.
Uganda's biggest independent newspaper, Daily Monitor, reported that the theft may have involved collusion by insiders.
Cyber thefts from banks and other financial service providers, including telecom firms, have occurred many times in Uganda. However, police officials have said that some banks are hesitant to publicly acknowledge such incidents due to fears of alienating customers.
Source: Reuters
Inaonekana huko nchini Uganda masuala ya "hacking" na "cyber security" yamepamba moto mno.
Wizara ya Fedha ya Uganda imethibitisha ripoti za vyombo vya habari kuhusu wadukuzi kuvamia mifumo ya Benki Kuu na kuiba fedha, lakini imekanusha madai kuwa kiasi kilichoibwa kilifikia dola milioni 17 [TZS bilioni 44.8].
“Ni kweli akaunti yetu ilidukuliwa, lakini si kwa kiwango kinachoripotiwa,” amesema Waziri wa Nchi wa Fedha, Henry Musasizi, akiongeza kuwa ripoti ya tukio hilo itakamilika ndani ya mwezi mmoja.
Soma pia: Wadukuzi wa kichina wanzisha operation maalum kuidukua Kenya
Kwa mujibu wa gazeti la New Vision linalomilikiwa na serikali, wadukuzi waliotambulika kwa jina la “Waste” walivamia mifumo ya TEHAMA ya Benki Kuu ya Uganda na kuhamisha fedha hizo kinyume cha sheria mapema mwezi huu.
Taarifa zimeeleza kuwa wadukuzi hao wanasemekana kuwa na makazi Kusini-Mashariki mwa Asia, na sehemu ya fedha hizo zimehamishiwa nchini Japan, huku ripoti zikibainisha kuwa zaidi ya nusu ya fedha zimeweza kurejeshwa kupitia juhudi za haraka za Benki Kuu.
====================================================
A senior official at Uganda's finance ministry confirmed that accounts in the country's central bank had been hacked but he downplayed the extent of the losses.
The Bank of Uganda had said late on Thursday it was awaiting a police investigation into a news report that offshore hackers stole 62 billion Ugandan shillings ($16.8 million) from the central bank.
State-owned New Vision newspaper reported on Thursday that hackers, identifying themselves as "Waste", accessed the Bank of Uganda's IT systems and illicitly transferred the funds earlier this month.
State minister for finance Henry Musasizi confirmed the hack and said the police's Criminal Investigations Department and the Auditor General were probing the incident.
"It is true our accounts were hacked into but not to the extent of what is being reported. When this happened, we instituted an audit and at the same time, and investigation," he told parliament on Thursday.
"To avoid misrepresentation of facts, I wish to indulge the House that we be patient that when the audit is finalised, which is now at the tail-end, I come and report."
The hacking group, based in Southeast Asia, sent part of the stolen money to Japan, New Vision said, citing unnamed sources at the bank.
New Vision said the central bank had successfully recovered over half of the money from the hackers.
Uganda's biggest independent newspaper, Daily Monitor, reported that the theft may have involved collusion by insiders.
Cyber thefts from banks and other financial service providers, including telecom firms, have occurred many times in Uganda. However, police officials have said that some banks are hesitant to publicly acknowledge such incidents due to fears of alienating customers.
Source: Reuters