Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Kwenye Uafrika hawapo, uzungu hawapo wala Uarabu hawapo p
hapo ilipigwa mchanyato wa mzungu wa ulaya na muaisia plus mwafrika yaani autosomal ancestry of Eurasian ("Caucasian") with native Sub-Saharan African origin. Sasa hatujui aliyechepuka ninani na mchanyato huu kumbuka ni wa kizazi na vizazi mfano mtu kama Tiger Wood mwenye wazazi wenye asili ya Asia, Uafrika na Uzungu plus Uisraeli nadani yake akisema aendeleze kizazi chake ndani kwandani kwa miaka alfa ulea elfu si atatoka mtu wa kizazi cha utofauti kabisa
hivi si hata Burundi kwao ni ng'ambo tuEthiopia na sampuli zake zote Asili yao mashariki,
Wamo djibout,erithrea na somali hata jamii ya tutsi.
Na wanafurahia sana kuhusishwa na jamii za ng'ambo.
Watu wa ajabu sana
halafu tukiwa nae ughaibuni naye mzungu na mchina anambagua vibaya sana dahWaarabu wa Afrika Kaskazini wanatokea Arabian Peninsula, wenyeji wa asili wa Afrika Kaskazini ni Amazigh / Barbers.
Amazigh asili yao ni Cushitic ingawa wengi wao kwa sasa wamechanganyikana na Waarabu na Wazungu kwa kiasi kikubwa.
Madagascar wana mchanganyiko wa Uhindi, Wahindi walipelekwa kulima miwa na wakoloni.Nadhani hata wamadagascar
Hindi na mniga sioMadagascar wana mchanganyiko wa Uhindi, Wahindi walipelekwa kulima miwa na wakoloni.
Ethiopia na sampuli zake zote Asili yao mashariki,
Wamo djibout,erithrea na somali hata jamii ya tutsi.
Na wanafurahia sana kuhusishwa na jamii za ng'ambo.
Watu wa ajabu sana
Yaaap, humo humoHindi na mniga sio
Ndiyo, Waafrika wa huko ni Bantu wa kutoka Afrika Mashariki.Hindi na mniga sio
madagascar na wenyewe ni jamii yao. si mchanganyiko na wahidni. mchanganyiko wa wahindi wapo MauritiusMadagascar wana mchanganyiko wa Uhindi, Wahindi walipelekwa kulima miwa na wakoloni.
Madagascar ni mchanganyiko wa Bantu na jamii za Asia Mashariki. Hii ni kwa mujibu wa vipimo vya vinasaba vilivyofanyika.madagascar na wenyewe ni jamii yao. si mchanganyiko na wahidni. mchanganyiko wa wahindi wapo Mauritius
Nawakubali sana
Nafikiria hapa ndipo yalipo makabila 12 ya wana wa Israel.Uko sahihi sana. Waafrika wanatofautiana sana
- Waarabu (wale wa Afrika kaskazini) bado ni Waafrika
- Nilotes (wa Daatoga, Wamasai, Wapokot na Wadinka wa Sudan)
- Hamites
- Bantu (Wamakonde, Wahehe, Wazaramo nk)
- Cushites (Waeritrea, Ethiopia, Wairaq wa Manyara nk)
- Khoisan (Wahadzabe, Wasandawe)
Nakumbuka nikiwa chuo kwa Wakatoliki Sister mmoja alikuwa lecture wangu alinipa kazi ya kuifanyia tafiti Hamatic theory Mzee baba wazungu sio watu kabisa. Toka siku hiyo nilijua kuwa hakujawahi na hakutatokea kuwa na urafiki Kati ya Mzungu na Mwafrika.Kush ni mtoto wa Ham na ni mjukuu wa Nuhu.
Lakini kuhusisha Cushites na Kush ni nadharia za Mzungu wa kutoka Ujerumani ambazo hazina ushahidi wowote.
Tupe kidogo udambwiNakumbuka nikiwa chuo kwa Wakatoliki Sister mmoja alikuwa lecture wangu alinipa kazi ya kuifanyia tafiti Hamatic theory Mzee baba wazungu sio watu kabisa. Toka siku hiyo nilijua kuwa hakujawahi na hakutatokea kuwa na urafiki Kati ya Mzungu na Mwafrika.
π π π sijajua ndg, ila inawezekana. Afrika tuna utajiri mkubwa wa sana makabila na lugha.Nafikiria hapa ndipo yalipo makabila 12 ya wana wa Israel.
Kabla hujaenda Ethiopia mbali kote hivyo, jiulize kwanza hapa hapa Tanzania, WAMBULU wana asili ya wapi??