Kwenye Uafrika hawapo, uzungu hawapo wala Uarabu hawapo p
Kwenye Uafrika hawapo, uzungu hawapo wala Uarabu hawapo pia.
View attachment 1886873
hapo ilipigwa mchanyato wa mzungu wa ulaya na muaisia plus mwafrika yaani autosomal ancestry of Eurasian ("Caucasian") with native Sub-Saharan African origin. Sasa hatujui aliyechepuka ninani na mchanyato huu kumbuka ni wa kizazi na vizazi mfano mtu kama Tiger Wood mwenye wazazi wenye asili ya Asia, Uafrika na Uzungu plus Uisraeli nadani yake akisema aendeleze kizazi chake ndani kwandani kwa miaka alfa ulea elfu si atatoka mtu wa kizazi cha utofauti kabisa