Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Wafadhili wa nini wakati tuna kila kitu Almasi,Dhahabu,ardhi yenye rutuba,sisi ndio wafadhili,naomba niwaambie ukweli,tulikuwa na shida kwa viongozi wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lkn aliweza hata haya maajabu aliyotamka gs wa ccm yy kachangia 98%.RIP Mwamba MAGU.Alituachia bunge la kijani la chama kimoja!
Je Dkt Steven Ulimboka alitekwa awamu ya Magufuli?Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.
Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
Tukio moja ktk miaka 10 huwezi kulinganisha na maelfu ya matukio ktk miaka 5.Je Dkt Steven Ulimboka alitekwa awamu ya Magufuli?
Pengine umezaliwa Jana,tukio la Daktari Ulimboka ndilo kubwa zaidi lakini kitengo cha utekaji kipo siku nyingiTukio moja ktk miaka 10 huwezi kulinganisha na maelfu ya matukio ktk miaka 5.
Inawezekana na pengine ndio maana hakuweza kuendelea ngwe ya pili..kosa lake ni kupandwa kichwani na wajinga wachache aliowakuta hapo ikulu wakafaulu kumjengea chuki na vyama vya upinzani, wahisani, baadhi ya watu nje ya ccm, viongozi wa nchi jirani, baadhi ya viongozi wa dini na wengine..alikosea sana kukubali uongo huo! yeye ndiye aliondoka wao bado wapo, na wanafanya yale yale..lakini dhamira yake ilikuwa njema kabisa kuwainua watanzania KUJITEGEMEA..!Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.
Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
Kifo chako kitaleta faraja na furaha kwa watu wengi.Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.
Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
Bila sheria kali kama zile za China kwa majizi ya mali za Umma Nchi haitopata maendeleo ya kweli na yanayostahili hata kwa karne ijayo 🙄😳 !Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.
Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
Kwa hiyo yaendelee tu?Pengine umezaliwa Jana,tukio la Daktari Ulimboka ndilo kubwa zaidi lakini kitengo cha utekaji kipo siku nyingi
Wanamuita "shujaa" au "mwamba"!Vibweka vitupu.Kenge huyo amerasimisha utekaji, uuaji, kupita chaguzi bila kupingwa, Rais wa hovyo kuwai kutokea duniani.
Shujaa wa utekaji labdaWanamuita "shujaa" au "mwamba"!Vibweka vitupu.
Wanahadithia ya kwamba aliufikisha uchumi wa China hadi "kati-chini" hadi Bashing'waa/Chinese waligaragara mavumbini kuonesha kumpa ukuu uliotukuka na kusema masihi amekuja.😎Shujaa wa utekaji labda