Wafadhili wa nini? - Hayati Rais John Pombe Magufuli

Wafadhili wa nini? - Hayati Rais John Pombe Magufuli

Magufuli alishazikwa. Hawa wanaotekwa na kuuawa baada ya kifo chake anawateka yeye?

siku hizi wanateka hadi ndani ya basi, achilia mbali Bakari Nondo aliyebebwa mchana kweupe stendi ya Magufuli.

Ukiwa na akili kidogo tu, utagundua kuwa Magufuli aliibadilisha nchi na kuimarisha huduma za jamii.
Tueleze kidogo kuhusu ule uliokuwa uhusiano wa Jiwe, Bashite na Sabaya( utatu haramu) na mali anazomiliki Bashite na Sabaya. Over
 
Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
Wewe msahaulifu.
Kiongozi wa vijana waliohitimu JKT kwa kujitolea alipotea wakati gani? Naomba unikumbushe.
Mwangosi alilipuliwa na ile kitu ya mabomu ya machozi pale Iringa mchana kweupe mbele ya camera za waandishi wa habari wenzie.
Kuna mhariri wa gazeti moja alikiona cha moto.
Orodha ni ndefu .....
Disclaimer: Hakuna uhakika hayo matukio kafanya nani isipokuwa la Mwangosi tu.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
What's up haikuwepo wala uwazi haukuwepo kupotea na vifo vya kutatanisha vipo na vilikuwepo toka Mauaji ya Jenerali Imrani Kombe,waandishi Stan Katabalo,Mwangosi,Isango,yote yametokea
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
Yupo Dkt mmoja wakati wa rasimu ya katiba,huyu alivamiwa na watu wasiojulikana getini kwake nyumbani,
 
Huyu ndiyo rais tuliyekuwa tunataka watanzania na waafrika wote.Tofauti na huyu mama aliyerithi ambaye Kila siku anaharibu tu
 
Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
Mauaji ya Dr Sengondo Mvungi ,
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye alielimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni. Kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya.
 
Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki
Marehemu Dr. Mvungi alikuwa critical thinker,katika mchakato wa katiba Mpya alikuwa na revolutionary ideas nyingi na ambazo kwa kiasi hazikuendana na matakwa ya watawala na wenzake.Kwa mujibu wa fununu,kuna aina fulani ya maoni ya msingi sana ambayo hayakuingia katika rasimu ya Warioba ambayo kuna siku wajumbe wa tume watayaweka wazi.Maoni haya inasemekana yangebadilisha muonekano na muelekeo wa taifa letu.
 
Marehemu Dr Sengodo Mvungi kama haukusoma na ulikuwa ungemfahamu kupitia mikutano ya NCCR basis lazima umjue kama mwanasiasa.
Lakini kwa wasomi walio ona maandiko yake, mafundisho yake na mambo mengine academically walimuona mwanazuoni.
 
Siku hizi huweki namba ya simu.

Siku zinaenda kasi, naamini Mwashambwa mwakani atakuwa kama wewe.
 
Tukio moja ktk miaka 10 huwezi kulinganisha na maelfu ya matukio ktk miaka 5.
We kumbe ni mavi ee?

Unamkumbuka Mwangosi wewe?
Dr Mvungi je?
Unajua kama chadema walilipiliwa na bomu kwenye mkutano wao huko arusha
 
Ukiachilia mbali hayo yote, lakini bado wafadhili aliwatumia.... Shida ikaja akawa pesa imekopwa na bado anasema tunajenga kwa pesa zetu. Sijui kwanini alikuwa hataki kusema ukweli.
Mkuu ata kama pesa ya mkopo lakini siinakua ya kwako ukishaipata tofauti na Trump aje ajenge hospitali Dodoma kisha Samia aseme tumejenga kwa pesa zetu hapo itakua maajabu.
 
Mkuu ata kama pesa ya mkopo lakini siinakua ya kwako ukishaipata tofauti na Trump aje ajenge hospitali Dodoma kisha Samia aseme tumejenga kwa pesa zetu hapo itakua maajabu.
Sasa kama ni hivyo kulikuwa na haja gani maana ndivyo siku zote mambo yanafanyika hakuna jipya la kusifia hapo.
 
Alikuwa anawahadaa wajinga. Hata data za uchumi zilikuwa za kupika. Amerudisha nyuma maendeleo ya watanzania wengi sana. Uchawa unaouona huko ccm yeye ndiye muasisi.
Hivi wewe taahira? Alituhadaa barabara, hosptali shule, treni hadi bwawa la umeme vinavyoonnekana?

Hata kama watanzania ni wajinga huwezi kutudanganya kiasi hiki. Huuo mamako amebuni kipi kipya zaidi ya kununua majiko ya gesi kwa JK na kuwagawia wanawake?
 
Back
Top Bottom