Tueleze kidogo kuhusu ule uliokuwa uhusiano wa Jiwe, Bashite na Sabaya( utatu haramu) na mali anazomiliki Bashite na Sabaya. OverMagufuli alishazikwa. Hawa wanaotekwa na kuuawa baada ya kifo chake anawateka yeye?
siku hizi wanateka hadi ndani ya basi, achilia mbali Bakari Nondo aliyebebwa mchana kweupe stendi ya Magufuli.
Ukiwa na akili kidogo tu, utagundua kuwa Magufuli aliibadilisha nchi na kuimarisha huduma za jamii.
Alikuwa anapata mgao bila shakaUle wizi na dhuluma za kina Sabaya alikuwa hana mgao kweli?
Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.This is cherry picking!
Hypocrisy.
Wewe msahaulifu.Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
What's up haikuwepo wala uwazi haukuwepo kupotea na vifo vya kutatanisha vipo na vilikuwepo toka Mauaji ya Jenerali Imrani Kombe,waandishi Stan Katabalo,Mwangosi,Isango,yote yametokeaTaja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
Yupo Dkt mmoja wakati wa rasimu ya katiba,huyu alivamiwa na watu wasiojulikana getini kwake nyumbani,Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
Marehemu Ngh'wanakilalaTaja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
Mauaji ya Dr Sengondo Mvungi ,Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki.
Marehemu Dr. Mvungi alikuwa critical thinker,katika mchakato wa katiba Mpya alikuwa na revolutionary ideas nyingi na ambazo kwa kiasi hazikuendana na matakwa ya watawala na wenzake.Kwa mujibu wa fununu,kuna aina fulani ya maoni ya msingi sana ambayo hayakuingia katika rasimu ya Warioba ambayo kuna siku wajumbe wa tume watayaweka wazi.Maoni haya inasemekana yangebadilisha muonekano na muelekeo wa taifa letu.Taja tukio jingine awamu ya 4 zaidi ya hilo la Ullmboka. Lkn kwa mshamba jiwe hayahesabiki
We kumbe ni mavi ee?Tukio moja ktk miaka 10 huwezi kulinganisha na maelfu ya matukio ktk miaka 5.
Mkuu ata kama pesa ya mkopo lakini siinakua ya kwako ukishaipata tofauti na Trump aje ajenge hospitali Dodoma kisha Samia aseme tumejenga kwa pesa zetu hapo itakua maajabu.Ukiachilia mbali hayo yote, lakini bado wafadhili aliwatumia.... Shida ikaja akawa pesa imekopwa na bado anasema tunajenga kwa pesa zetu. Sijui kwanini alikuwa hataki kusema ukweli.
Sasa kama ni hivyo kulikuwa na haja gani maana ndivyo siku zote mambo yanafanyika hakuna jipya la kusifia hapo.Mkuu ata kama pesa ya mkopo lakini siinakua ya kwako ukishaipata tofauti na Trump aje ajenge hospitali Dodoma kisha Samia aseme tumejenga kwa pesa zetu hapo itakua maajabu.
Hivi wewe taahira? Alituhadaa barabara, hosptali shule, treni hadi bwawa la umeme vinavyoonnekana?Alikuwa anawahadaa wajinga. Hata data za uchumi zilikuwa za kupika. Amerudisha nyuma maendeleo ya watanzania wengi sana. Uchawa unaouona huko ccm yeye ndiye muasisi.
Nzilankende bhana. Utafikiri comedy.Wafadhili wa nini wakati tuna kila kitu Almasi,Dhahabu,ardhi yenye rutuba,sisi ndio wafadhili,naomba niwaambie ukweli,tulikuwa na shida kwa viongozi wetu.
View attachment 3165673