Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Dar es Salaam
Jimbo la Kawe
- Askofu Josephat Gwajima

Jimbo la Temeke
- Doris Kilave

Tanga
Jimbo la Muheza
- Hamis Mwinjuma (Mwana FA)

Mbeya
Jimbo la Tunduma
- David Silinde

Manyara
Jimbo la Babati Mjini

- Pauline Gekul

Kilimanjaro
Jimbo la Vunjo

- Charles Kimei

Shinyanga
Jimbo la Shinyanga Mjini
- Patrobas Katambi

Mtwara
Jimbo la Ndanda
- Cecil Mwambe

Geita
Jimbo la Busanda

- Tumaini Braison Magesa

Kagera
Jimbo la Bukoba Mjini
- Stevine Lujahuka Byabato

Katavi
Jimbo la Kavuu
- Jofrey Mizengo Pinda

Kigoma
Jimbo la Kusini/ Uvinza
- Nashon Bidyanguze

Jimbo la Kigoma Kaskazini
- Asa Nelson Makanika

Rukwa
Jimbo la Nkasi Kusini
- Vincent Mbogo

Ruvuma
Jimbo la Mbinga Mjini

- Jonas Mbunda

Jimbo la Namtumbo
- Kawawa Vita Rashid

Njombe
Jimbo la Wanging'ombe
- Dk. Festo John Dugange

Tabora
Jimbo la Kaliua
- Aloyce Kwezi

Shinyanga
Jimbo la Kishapu

- Boniface Butondo

Lindi
Jimbo la Liwale
- Zuberi Kuchauka

Wafuatao ni wagombea Waliogongana idadi ya kura za maoni lakini akapitishwa mmoja:
Morogoro
Jimbo la Mlimba

- Godwin Kunambi

Mwanza
Jimbo la Buchosa

- Erick Shigongo

Mara
Jimbo la Mwibara
- Charles Kajege

Mbeya
Jimbo la Rungwe
- Antony Mwantona

= Orodha zaidi inakujia hivi punde =

KUJUA ORODHA YA JUMLA YA WAGOMBEA KATIKA MAJIMBO YOTE SOMA HAPA:
= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

PIA SOMA

= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
 
Nikajua umeweka majina yote aisee.
 
Back
Top Bottom