Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Suley2019,
Duh! CCM isipomegeka, nitashangazwa mno! Lakini yote haya harufu ya jiwe nje nje!😀ladha mbaya sana kwa ma CCM mengi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shinyanga Mjini hilo jimbo Chadema washindwe wenyewe, huyo Katambi 2015 alijaribu hapo Shinyanga akiwa CDM akakosa, naamini yule Nchambi lazima ana kinyongo.
Nchambi ni mbunge jimbo la kishapu sio shinyanga mjini

Hapo alikuwa masele steven
 
Dar es Salaam
Jimbo la Kawe
- Askofu Josephat Gwajima

Tanga
Jimbo la Muheza
- Hamis Mwinjuma (Mwana FA)

Mbeya
Jimbo la Tunduma
- David Silinde

Manyara
Jimbo la Babati Mjini

- Pauline Gekul

Kilimanjaro
Jimbo la Vunjo

- Charles Kimei

Shinyanga
Jimbo la Shinyanga Mjini
- Patrobas Katambi

= Orodha zaidi inakuja hivi punde =



Pia Soma
= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Mtoa mada toka lini tunduma ikawa mbeya?

Tunduma ni jimbo lipo mkoa wa songwe
 
Back
Top Bottom