Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Mwaga ugali mkuuEL kipindi kile sio leo ,ccm haikua na sera mbaya za uchumi na maadui kila kona watu maisha yaliku yanaenda vizuri ukilingani na awamu hii kitendo cha kutukata majina yetu kita wacost nawaambieni
Mkuu fuata huu ushauri kwanza hebuAnza kwanza kubadili ID yako mkuu
Kama issue ya Patrobas Katambi inahuzunisha sana. Nafasi ya nne huko!!!!!!!Hata mimi nimeshangaa sana kura za maoni zilihesabiwsa hadharani, mbele ya luninga na washindi wakapatikana live, leo unakuja kumkata na kumuengua mshindi unampachika aliyeshindwa! Mbaya zaidi kuna wengine waliorudishwa hata nafasi ya pili iliwakimbia! Pia sjajua kigezo hasa ni kipi maana kama kigezo ni rushwa , wapo waliotoa Rushwa na wakalalamikiwa lakini wamepitishwa!
Ushauri wangu ndugu zangu wanaCCM ambao mmekipigania chama hicho miaka kibao na kujiandaa kwa gharama za kiuchumi na kuutoa pia muda wenu, leo unatimiza ndoto yako ya kushinda, unakatwa kisha nafasi anapewa mamluki hata miezi 6 ndani ya CCM bado hajatimiza! Sasa chakufanya msianze kuhama wala kutoa matamko, bali shugulikeni mkiwa ndani humohumo, waelewesheni wanachama wengine wote uonevu uliofanyika kisha , waungeni mkono wapinzani kwa kuwapa kura zenu huku mkiwapa pia plani ya vita inayosukwa na CCM kuelekea uchaguzi mkuu!
Tulia weweeeeeeHiii wee nini[emoji23]
asiekubali kushindwa si mshindani Bro
Acheni kuwa obsessed na siasa haya ndo madhara sasa
SawaMkuu fuata huu ushauri kwanza hebu
Jina langu limekatwa na kikundi cha watu wanajiona wa ndio ccm ngoja tutaona matoke yake wengine sio waongeaji sana mimi ni mtu wa vitendo na nimwana ccm kitamboDuh umeniacha hoi kama Kuna watu hawajajua wewe ni mpinzani pure na umeandika mada ili kushawishi waliokatwa wadhani na wewe umekatwa kweli Basi nawapa pole...Ila pambana kwenye siasa Kuna mbinu nyingi
[emoji2][emoji2][emoji2]Sawa Bwana mkuuTulia weweeeeee
Hujui tulivyopambana kuhakikisha chama kipo juu
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Akili yako ndo imeishia hapo mkuu yaani imefunikwa na kutandwa na wingu la ukabila tu hauna hoja ingine.Tuseme ukabila umembeba askofu Gwajima,?nauliza kwasababu hakuwa mshindi wa pili,walio mzidi kwa kura wameondolewa kwa kigezo gani?ukisema rushwa nitakukatalia kwa kuwa wapo walio kamatwa live na waliotoa rushwa waziwazi majina yao yamerudi,Sasa kwa Nini Kawe au ndio usukuma?
Ngoja utaelewa usiwe na pupakukosa mtakosa peke yenu, hakuna msamiati wa kukosa wote.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Alikosa kwa kura ngapi mkuu. Chache sana.Shinyanga Mjini hilo jimbo Chadema washindwe wenyewe, huyo Katambi 2015 alijaribu hapo Shinyanga akiwa CDM akakosa, naamini yule Masele lazima ana kinyongo.
Kwanini ni badili ID kwasaba gani?Anza kwanza kubadili ID yako mkuu
Wadanganye tu.Hata mimi nimeshangaa sana kura za maoni zilihesabiwsa hadharani, mbele ya luninga na washindi wakapatikana live, leo unakuja kumkata na kumuengua mshindi unampachika aliyeshindwa! Mbaya zaidi kuna wengine waliorudishwa hata nafasi ya pili iliwakimbia! Pia sjajua kigezo hasa ni kipi maana kama kigezo ni rushwa , wapo waliotoa Rushwa na wakalalamikiwa lakini wamepitishwa!
Ushauri wangu ndugu zangu wanaCCM ambao mmekipigania chama hicho miaka kibao na kujiandaa kwa gharama za kiuchumi na kuutoa pia muda wenu, leo unatimiza ndoto yako ya kushinda, unakatwa kisha nafasi anapewa mamluki hata miezi 6 ndani ya CCM bado hajatimiza! Sasa chakufanya msianze kuhama wala kutoa matamko, bali shugulikeni mkiwa ndani humohumo, waelewesheni wanachama wengine wote uonevu uliofanyika kisha , waungeni mkono wapinzani kwa kuwapa kura zenu huku mkiwapa pia plani ya vita inayosukwa na CCM kuelekea uchaguzi mkuu!
Tujue jina lakoKwanini ni badili ID kwasaba gani?
Najimboni kwako ccm inashinda jimboni kwako.Jina langu limekatwa na kikundi cha watu wanajiona wa ndio ccm ngoja tutaona matoke yake wengine sio waongeaji sana mimi ni mtu wa vitendo na nimwana ccm kitambo
Mbona tumeshinda vizuri tunakubalika kwenye majimbo yetu wajumbe wametupigia kura tumeshinda vizuri kikundi cha watu wachate wakakata majina yetu tukiuza rama tumekosea?Hiii wee nini[emoji23]
asiekubali kushindwa si mshindani Bro
Acheni kuwa obsessed na siasa haya ndo madhara sasa
Kufanya nini ACT mimi mwana ccm kitambo hata kabla ujazaliwa tulia tungoje majibu ya uchaguzi huuNajimboni kwako ccm inashinda jimboni kwako.
Kama unaupepo nenda act au cdm kama utashinda.
Tuolikatwa majini tusindoke kwenye chama letu la mizengwe tubaki bila password kisha tuone mwisho wake siwanajifanya wanjanja muda utaongea.Duh umeniacha hoi kama Kuna watu hawajajua wewe ni mpinzani pure na umeandika mada ili kushawishi waliokatwa wadhani na wewe umekatwa kweli Basi nawapa pole...Ila pambana kwenye siasa Kuna mbinu nyingi
Kwamtazamo wako tumetendewa haki ?Jeuri hiyo hamuna,jaribuni muone