900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
WATAPOOZWA KWENYE NAFASI MBALIMBALI ENDAPO MAGU ATASHINDA, JAPO LISU NDO RAISI AJAYEHi ikoje na wluochaguliwa na wajumbe wanaenda wapi?
Babati vijijini Gekul, Babati mjini Gekul mbona patawaka motoPatrobas Katambi = Shinyanga mjini
Paulina Gekul = Babati Mjini
Hatar sana aisee. Masela tunamuita MbuziMlinzi wa rais huyu
Yaani mtu mmoja anagombea koteBabati vijijini Gekul,babati mjini Gekul mbona patawaka moto
mtu na kaka yake vyama tofauti chedema na ccmYaani mtu mmoja anagombea kote
JESUS IS LORD[emoji120]
oohooooAlly Kinanasi kapita Kyela
Kwenye jimbi hilo mbogo alishika nafasi ya tatu kuna mwl wa sec.ndio alishindaHatar sana aisee. Masela tunamuita Mbuzi
Gwajima ana potential kubwa. Kimkakati hata mimi ningemuweka yeye.Tuseme ukabila umembeba askofu Gwajima,?nauliza kwasababu hakuwa mshindi wa pili,walio mzidi kwa kura wameondolewa kwa kigezo gani?ukisema rushwa nitakukatalia kwa kuwa wapo walio kamatwa live na waliotoa rushwa waziwazi majina yao yamerudi,Sasa kwa Nini Kawe au ndio usukuma?
Gwajiboy mapema sana.Yes naungana na wewe mwaFA na Kimei hao lazima watashinda. Ila Gwaji boy na Silinde kwishney mapema
Hivi ni macho yangu tu nimeona vibaya, au ni kweli CCM wamemchagua Gwajima kupigania jimbo la Kawe? Kama ni hivyo, basi watakuwa wameamua kuachana na jimbo hilo lichukuliwe na upinzani. Kwa maoni yangu, hata Paskali Mayalla aliyepata zero katika kura za mwanzo angetoa upinzani wa maana zaidi katika kinyang'anyio hicho.Dar es Salaam
Jimbo la Kawe
- Askofu Josephat Gwajima
Tanga
Jimbo la Muheza
- Hamis Mwinjuma (Mwana FA)
Mbeya
Jimbo la Tunduma
- David Silinde
Manyara
Jimbo la Babati Mjini
- Pauline Gekul
Kilimanjaro
Jimbo la Vunjo
- Charles Kimei
Shinyanga
Jimbo la Shinyanga Mjini
- Patrobas Katambi
Mtwara
Jimbo la Ndanda
- Cecil Mwambe
Geita
Jimbo la Busanda
- Tumaini Braison Magesa
Kagera
Jimbo la Bukoba Mjini
- Stevine Lujahuka Byabato
Katavi
Jimbo la Kavuu
- Jofrey Mizengo Pinda
Kigoma
Jimbo la Kusini/ Uvinza
- Nashon Bidyanguze
Rukwa
Jimbo la Nkasi Kusini
- Vincent Mbogo
Ruvuma
Jimbo la Mbinga Mjini
- Jonas Mbunda
Jimbo la Namtumbo
- Kawawa Vita Rashid
Njombe
Jimbo la Wanging'ombe
- Dk. Festo John Dugange
Wafuatao ni wagombea Waliogongana idadi ya kura za maoni lakini akapitishwa mmoja: Morogoro
Jimbo la Mlimba
- Godwin Kunambi
Mwanza
Jimbo la Buchosa
- Erick Shigongo
Mara
Jimbo la Mwibara
- Charles Kajege
= Orodha zaidi inakujia hivi punde =
Pia Soma
= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
= > Uchaguzi 2020 - Yanayojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Wagombea Ubunge na Uwakilishi kujulikana leo
Ata kama angekuwa mwenye meza ya mawacha gwajiboy saa 12 asubui kimeshanuka ufipa.Inaelekea unapayuka tu wala hakuna ulijuwalo
Halima Mdee ni mwenyekiti wa Bawacha.
Mbona gwajima kawauma sana!!?Tuseme ukabila umembeba askofu Gwajima,?nauliza kwasababu hakuwa mshindi wa pili,walio mzidi kwa kura wameondolewa kwa kigezo gani?ukisema rushwa nitakukatalia kwa kuwa wapo walio kamatwa live na waliotoa rushwa waziwazi majina yao yamerudi,Sasa kwa Nini Kawe au ndio usukuma?
Ona huyu nae sijui hangover inamsumbua we JPM ang'olewe na nani!?,.Duh! ccm isipomegeka, nitashangazwa mno! Lakini yote haya harufu ya jiwe nje nje!😀ladha mbaya sana kwa ma ccm mengi.
Mbona gwajima kawauma sana!!?
We chadema ya gwajima yanakuhusu Nini!?Tuseme ukabila umembeba askofu Gwajima,?nauliza kwasababu hakuwa mshindi wa pili,walio mzidi kwa kura wameondolewa kwa kigezo gani?ukisema rushwa nitakukatalia kwa kuwa wapo walio kamatwa live na waliotoa rushwa waziwazi majina yao yamerudi,Sasa kwa Nini Kawe au ndio usukuma?
Influence, ndiye size ya Bi mdee.Tuseme ukabila umembeba askofu Gwajima,?nauliza kwasababu hakuwa mshindi wa pili,walio mzidi kwa kura wameondolewa kwa kigezo gani?ukisema rushwa nitakukatalia kwa kuwa wapo walio kamatwa live na waliotoa rushwa waziwazi majina yao yamerudi,Sasa kwa Nini Kawe au ndio usukuma?
Unajua aliyeshinda Kawe kabila gani?Tuseme ukabila umembeba askofu Gwajima,?nauliza kwasababu hakuwa mshindi wa pili,walio mzidi kwa kura wameondolewa kwa kigezo gani?ukisema rushwa nitakukatalia kwa kuwa wapo walio kamatwa live na waliotoa rushwa waziwazi majina yao yamerudi,Sasa kwa Nini Kawe au ndio usukuma?