Taarifasahihi
Senior Member
- May 24, 2019
- 170
- 157
Anaozea jela wakati alishalipa 1.5b akaachiwa, na kapitishwa Leo ni mgombea huko kwao kwa tiketi ya ccm.!!Hana jeuri hiyo nakuthibitishia kwa asilimia Mia anakesi mbaya mno tena yenye ushahidi wa kuingiziwa mamilioni ya shilingi kwenye ac yake na aliyekuwa Rais wa Acacia yule anayeozea jela...
atapewa u RC / DC / RAS / DAS / DED kumziba mdomo.Yani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Acha kumsingizia Ndugai. Masele ana ishu zake ShyTown na nyodo. Magu anamlia timing tu. Ashukuru wazee wa kisukuma wanamtuliza Magu.Ndugai ana kisirani Sana kaja jike
Anakaribshwa Maselle akija upinzani anamuondoa asubuhi tu RONADINO GAUCHO MIJINO.Yani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Kawawa, Ditopile etcNaona watoto wa wakubwa wa nchi wamepenyezwa kwa wingi nadhani lengo ni kuwaandaa na pia waendelee kula kimvulini
Wapo watoto wawili wa mzee Mwinyi
Wawili wa jakaya
Yupo mtoto wa pinda na wengine tu ukisikia jina unajua mulemule
Kwani shida ni nini ngoja aje kisha mmpe nafasi akipita anakaa mwaka mmoja anarudi ccm tunampitisha tena wakati nyie mnsusa uchaguziYani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Kosa lake ni kubishana na Ndugai kipindi akiwa bunge la AfrikaYani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Ahahahah,Kwani shida ni nini ngoja aje kisha mmpe nafasi akipita anakaa mwaka mmoja anarudi ccm tunampitisha tena wakati nyie mnsusa uchaguzi
Fafanua mkuuNdugai mnamsingizia tu. Masele ana ishu zake kwenye madini. Msifikiri wajuaji wako JF tu.
Yaan upande wa pili ndo atapigwa asubhi SAA mbili athubutu aoneYani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Kwanza angepitishwa na ccm Jimbo lilikua hatarini kwenda upinzani.Alitekeleza Jimbo akawa haonekani completely Jimbon kwa miaka mitatu,mikutano hafanyi,bungen hasikiki,sim hapokei anaandikiwa barua na chama hajibu.wananchi walishamchoka Sana huyuHata ningekuwa Mimi, yaani ukatwe kisa uligombama na Ndugai? Hiki ni kigezo Namba ngapi kwenye kanuni za CCM?
Rais yupi huyo?Hana jeuri hiyo nakuthibitishia kwa asilimia Mia anakesi mbaya mno tena yenye ushahidi wa kuingiziwa mamilioni ya shilingi kwenye ac yake na aliyekuwa Rais wa Acacia yule anayeozea jela...
Usitunyime za chini ya zulia tafadhaliYani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Yule wa arumeru nae vipiYani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!