balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Nchambisssssss arudi kwenye maloriiiiYule mbunge wa Kishapu aliyekamatwa na bunduki 16 naona CCM wamemla kichwa.
Kwani kuna nafasi iko wazi na waliopo waende wapi, sasa hivi nafasi zimejaa na wote bado vijana hawategemei kustaafu hivi karibuniatapewa u RC / DC / RAS / DAS / DED kumziba mdomo.
Ccm ya sasa inanini kwamba inakubalika labda tu nikupe pole subir uone katambi akishinda hapa shinyanga nilipo Mimi nakunya hazaraniNi haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.
Haogopi kufilisiwa na uhujumi uchumi kwa kesi za kubumbabumba.Yani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Wa kukurupuka.Yani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Mkuu kwa ninavyo mfahamu Masele, sidhani kama atathubutu kuhama. Ila tusimalize maneno ngoja tuone..Yani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Vunjo ni kwa Mbatia. Hivyo si rahisi Kimei kushinda jimbo hilo.Kimei atapita. Huyo silinde wamechemka
Nimefirahi silinde kupitishwa.Dar es Salaam
Jimbo la Kawe
- Askofu Josephat Gwajima
Tanga
Jimbo la Muheza
- Hamis Mwinjuma (Mwana FA)
Mbeya
Jimbo la Tunduma
- David Silinde
Manyara
Jimbo la Babati Mjini
- Pauline Gekul
Kilimanjaro
Jimbo la Vunjo
- Charles Kimei
Shinyanga
Jimbo la Shinyanga Mjini
- Patrobas Katambi
Mtwara
Jimbo la Ndanda
- Cecil Mwambe
Geita
Jimbo la Busanda
- Tumaini Braison Magesa
Kagera
Jimbo la Bukoba Mjini
- Stevine Lujahuka Byabato
Katavi
Jimbo la Kavuu
- Jofrey Mizengo Pinda
Kigoma
Jimbo la Kusini/ Uvinza
- Nashon Bidyanguze
Rukwa
Jimbo la Nkasi Kusini
- Vincent Mbogo
Ruvuma
Jimbo la Mbinga Mjini
- Jonas Mbunda
Jimbo la Namtumbo
- Kawawa Vita Rashid
Njombe
Jimbo la Wanging'ombe
- Dk. Festo John Dugange
Tabora
Jimbo la Kaliua
- Aloyce Kwezi
Shinyanga
Jimbo la Kishapu
- Boniface Butondo
Wafuatao ni wagombea Waliogongana idadi ya kura za maoni lakini akapitishwa mmoja: Morogoro
Jimbo la Mlimba
- Godwin Kunambi
Mwanza
Jimbo la Buchosa
- Erick Shigongo
Mara
Jimbo la Mwibara
- Charles Kajege
= Orodha zaidi inakujia hivi punde =
Pia Soma
= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
= > Uchaguzi 2020 - Yanayojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Wagombea Ubunge na Uwakilishi kujulikana leo
CCM-MPYA haina kitu. Ni nguvu ya mtu mmoja.Ni haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.