Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

atapewa u RC / DC / RAS / DAS / DED kumziba mdomo.
Kwani kuna nafasi iko wazi na waliopo waende wapi, sasa hivi nafasi zimejaa na wote bado vijana hawategemei kustaafu hivi karibuni
 
Hilo jimbo lilikuwa linamfaa Abui Mukadam Nyuki wa Runzewe
 
Ni haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.
Ccm ya sasa inanini kwamba inakubalika labda tu nikupe pole subir uone katambi akishinda hapa shinyanga nilipo Mimi nakunya hazarani
 
Haya CDM mchukueni..mnapenda makapi
 
Anaandika Dr. Christopher Cyrilo,

Adadi Mohammed Rajabu Meta, mkurugenzi mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai wa zamani, mbunge wa jimbo la Muheza aliyemaliza muda wake, pia aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya ndani na usalama.

Huyu aliwahi kuitaka serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani itoe maelezo ya kutosha kuhusiana na matukio ya utekaji, utesaji na mashambulizi kwa viongozi wa kisiasa wakiwemo wabunge. Ni baada ya tukio la kushambuliwa Tundu Antipass Lissu.

Akiwa kama Mwenyekiti wa kamati ya bunge inayoshughulikia mambo ya ndani, ulinzi na usalama, ripoti yake ya uchunguzi wa matukio ya utekaji na mashambulizi yaliyofanywa na watu "wasiojulikana" ilinyofolewa na kupotea katika mazingira ya kutatanisha, hukohuko bungeni.

Kwenye kura za maoni alipata kura 597, dhidi ya mtia nia mwingine Hamis Mwinjuma (Mwana FA) aliyepata kura 296.

Hamis Mwinjuma ameteuliwa kuwania ubunge Jimbo la Muheza.

Nampongeza Hamis Mwinjuma kwa kupewa nafasi hii ya kugombea ubunge nyumbani kwetu Muheza. Lakini niseme tu kwamba mazingira ya kupata nafasi hii si mazuri sana. Kijana kama anayajua mambo haya basi atakuwa mtu mwenye kutafakari sana wakati huu, ila kama haelewi atakuwa mwenye furaha. Kuhusu ushindi, kwake litakuwa jambo la bahati.

Tukutane Muheza!
 
Yani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.

Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Wa kukurupuka.

Kama kawaida yenu, kanoe kisu kwenye grenda
 
Yani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.

Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Mkuu kwa ninavyo mfahamu Masele, sidhani kama atathubutu kuhama. Ila tusimalize maneno ngoja tuone..
 
Nimefirahi silinde kupitishwa.
 
Dogo hafiki mbali...kazi ishaisha Muheza!!
Kama unabisha sawa ila ubishi wako utakiwa ni wa ukoo!!

Hongera uliyeongoza na ukapotezewa ushindi, historia itakukumbuka!! ulifanya kwa HAKI ila kamati roo mbaya ya chama chako imefanya yake!!
 
Masele kuama hawezi atavumilia hivyo hivyo lakini Katambi asijiakikishie kuwa tayari ashakuwa mbunge
 
Ni haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.
CCM-MPYA haina kitu. Ni nguvu ya mtu mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…