Wafahamu Celebrities waliotoka familia bora

Okay, I see...

So where are they right now? Wameweza ku-maintain the Masaki level au ndio zile za "Usinione nimechoka, nilikulia Masaki"...

He who laughs last laughs longer

Hapo chacha,,wamekaa Masaki na Upanga national housing wazee wamestaafu sasa hivi wako madale na bunyokwa,,teh teh teh kukariri bana!
 
Nimekujibu kutokana na majibu yako,,utajiri wa ukubwani sijui mikopo ya faidika yamekujaje? Msikariri mkitoka mikoani huko kuwa ukisoma English medium au kukaa majumbani ya msajili ndio wakishua!

Huko mwabepande mlikojenga sikuiz kulikuwa porini utawaitaje wakishua wakati enzi hizo kulikuwa hifadhi ya taifa.. we baki huko porini kwenu mtoa mada kawazungumzia walioishi maeneo tajwa hapo juu na enzi hizo hao ndio walikuwa wakishua.
 
Huko mwabepande mlikojenga sikuiz kulikuwa porini utawaitaje wakishua wakati enzi hizo kulikuwa hifadhi ya taifa.. we baki huko porini kwenu mtoa mada kawazungumzia walioishi maeneo tajwa hapo juu na enzi hizo hao ndio walikuwa wakishua.

We kusema Gk Ay na FA ni wakishua,umeshapoteza haki ya kuchangia huu mjadala.
 
Huko mwabepande mlikojenga sikuiz kulikuwa porini utawaitaje wakishua wakati enzi hizo kulikuwa hifadhi ya taifa.. we baki huko porini kwenu mtoa mada kawazungumzia walioishi maeneo tajwa hapo juu na enzi hizo hao ndio walikuwa wakishua.

Teh teh teh kama we unavyolalamika foleni huko Mbezi unafikiri wote ndo tu nakaa huko? huko Mbweni anakaa mzee kila week end naenda kumsabahi mi niko bado town nashkuru kwa Mungu alijenga mijengo mingi hapa jijini hakucheza Golori enzi za ujana wake so,now nakula pension tuu.

Ndio nimekuuliza wakishua wanakaa kwenye nyumba za msajili za WATANZANIA walipa kodi? Sasa hivi wapo wanahangaika kupanga ubavu bonyokwa kwenu huko!
 
Mambo ya kudhani watu wakiishi Chole road au Upanga ni wakishua ni ya kizamani wengi walioishi huko wazaz walikua watumishi wa serikali na wengine walijisahau hata kujenga kiinua mgongo ndio wamejengea kimara maisha yanawapiga
Nyinyi mnaleta hadithi hapa washua wa zamani wanajulikana wazazi wa hao jamaa wangejulikana bila kutumia nguvu
 
We kusema Gk Ay na FA ni wakishua,umeshapoteza haki ya kuchangia huu mjadala.

Kama GK alikua anasoma pale mwenge ki Secondary fulani uchwara kipo karibu na Mary land bar enzi hizo walikua wanasoma watu wakuunga unga na ku resit paper kiliitwa Mwenge open academy kama sikosei kinyumba tu then unamuita wa kishua
Labda umuite sasa kwa posho za bunge za mama
 

Wamekariri hao mkuu afu ukiangalia wengi wao ndio wakuja,,washkuru shemeji au uncle anakaa Dar au kuchaguliwa Elimu ya chuo Kikuu Mlimani ndio imewafanya waijuae Dar! Born town tunawachora tu
 
Acha uongo ww, mama'ke GK Mama Kaihula alikua lectuler cbe na sio sekondary kama unavodai
Wote mko sahihi kiasi fulani ,Mama Kaihula,alikuwa mwalimu wangu Tambaza Sec.then nikakutana nae Morogoro mimi nikiwa forest hill yeye akifundisha Moro sec,akawa lecturer wangu CBE na sasa mimi ni shabiki wake CDM yaani kama kaletwa kwa ajili yangu kunipa maarifa vile mama huyu!
 
We kusema Gk Ay na FA ni wakishua,umeshapoteza haki ya kuchangia huu mjadala.

Nawewe kuparamia post basi ushapoteza vigezo embu angalia hiyo post ya kwanza ya akina fa na ay utajijibu mwenyewe.
 

Yaleyale ndugu tunajua we unapesa ni bahati mbaya sio celeb hapa tunazungumzia hao celeb walioishi maisha ya kishua haijalishi kwa sasa hao wenyewe wakoje... maana wengi wao hapo juu kwa sasa kimaisha wameshapitwa na watoto wa tandale na mwananyamala.
 
Hadithi ndio linalofanya jukwaa lijadiliwe anayeona hadithi hazimfai nashangaa anafata nini huku... aijalishi ni national housing au ya serikali as long as wameishi maisha ya kishua ndio lengo la mleta mada na hata si kujadili financiak position yao ya sasa wengi mnavyodhani na kujifanya mnaelewa sanaa topic.
 

Kuja tutakuja tu kuchangia lakini sio kuudanganya umma kuwa kusoma English medium au kukaa msajili ndio wa kishua hapo ndio tunapotofautiana!
 

Mimi ndo mleta uzi, una tatizo gani na mim? Naona unatak kuniviruga, usijaribu kuamsha mizimu yangu aiseeh, nishasahau habar za ban
 
Kuja tutakuja tu kuchangia lakini sio kuudanganya umma kuwa kusoma English medium au kukaa msajili ndio wa kishua hapo ndio tunapotofautiana!

Haya bwana celeb stata mzuka naona umetumia nguvu nyingi tujue nawe wa kishua japo umesoma kayumba tho hata hao tajwa hapo juu baadhi yao wamesoma kayumba na zamani kayumba ilikuwa kawaida tu hakuna cha mtoto wa nani au nani.. ila bahati mbaya we sio wakishua kihivyo ndio maana hatujakutaja humu.
 
Mimi ndo mleta uzi, una tatizo gani na mim? Naona unatak kuniviruga, usijaribu kuamsha mizimu yangu aiseeh, nishasahau habar za ban

Lol binamu wakuache ulale... uendelee kutujuza habari motomoto za mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…