Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungumzie lakini usilete uongo na uwe na ushahidi sio story za kwa Shigongo afu unajifanya unawajua.
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Haya we mjuaji huyo shigongo anayedanganya unamshushua nenda basi kaombe uhariri kwani wote waliokaa hizo nyumba za msajili ni maskini?
Haya ndio tumesoma kwa shigongo basi nenda huko gpl kamwambie aache ujuaji na kudanganya maana hao wote waliotajwa unawajua wote personally tofauti na shigongo anavyodanganya.
Uongo upi? Ebu nitajie staa yeyote niliyemtaja ambae hana sifa nilizozitaja
Nikaombe uhariri? Seriously??? Teh teh teh teh
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Uondoke uende wapi kwan kuna mtu anakutisha binamu
Hamna binamu lakini si unaona hakuna mada hapa zaidi ya kujisifia pumba mtu mtu sio star.. akajisigie huko IG.
The Lady Ana Kisirani Flan Sometimes......Nilishamsoma Siku Miiiiiingi So Huwa Najitahidi Kukaa Mbali Naye......Nimeona Haya Majibishano,Nikasema...Well!Well!Well!...Wacha Movie Iendelee......
Kwani nimembishia yeye angalia huko mwanzo nilimwambia kama wewe ni tajiri sawa ila sio celeb, si alidhike naona kakosa kazi na kuanza kutangaza utajiri wake akaweke huko jf photo wamsifie humu sio jukwaa lake.
Poor minds discuss people, strong minds discuss ideas.
Sawa ni kweli ila alivyoweka umeumia nini na maneno ya kashfa ukamtolea? Si yeye na ulimbukeni wake au unataka wote tuwe na idology moja kwamba akisema mtu flani basi ndio hilohilo.
JF bhana raha sana unaweza ukatumia nguvu nyingi kweli kubishana na mtu halafu kumbe ni babako au mdogo wa mwisho
WORLD ngoja nijiitoe kwa huu mjadala usio na kichwa wala miguu niwaachie limbukeni stata mzuka na wajuaji @qnofsheba na warumi
Ila nime NOTE kitu kimoja humu watu wana matatizo yao sasa ni sawaswa ulete habari ya Isidingo au upite na the Gurdian uswahilini.
mtoto aliyetoka familia bora lazima awe amesoma shule nzuri primary mpaka secondary na si maeneo alipokulia!....huwezi ukawa mtoto wa kishua kisa umekulia upanga au obay lakini primary ya kidumu na ufagio ilikuhusu mixer kupeleka vifuu skuli walimu wapikie uji!....
mtoto aliyetoka familia bora lazima awe amesoma shule nzuri primary mpaka secondary na si maeneo alipokulia!....huwezi ukawa mtoto wa kishua kisa umekulia upanga au obay lakini primary ya kidumu na ufagio ilikuhusu mixer kupeleka vifuu skuli walimu wapikie uji!....