EMANUEL JOHN JOHN
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 502
- 461
Mshana na Uzi wake wa walevi.Natafuta Ajira una akili?[emoji23]
Yupo kwenye app ya mange anaandika makalaThe bold Habibu Hanga japo kapotea humu mda mrefu
Unakuta mtu mpk kwny profile yake kaficha jinsia yake,mitandao hii HIDE MY ID mpk jinsia haijulikaniKuna mmoja hapo ni kidume tena mtu mzima haswa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Naunga mkono hoja
Kiukweli hata mie mara kibao tu nishasema humu kwamba siamini kama mie ni wakike asee
Violence HQ [emoji91][emoji91]Sisi ni vidume, ni miamba yani....
Upewe uDEAN of ALL FORUMS Mkuu [emoji736][emoji818][emoji1545][emoji817]
@Extrovert [emoji28][emoji28][emoji23]unamsahau vipi extrovert; jamaa anaonekana ni check bob alafu mission town mmoja hivi
Kuna mmoja hapo siku ukija kumuonaHuwa siamini kama hawa warembo ni wanawake..😂😂
Evelyn Salt , witnessj , Rebeca 83 , Demi Joanah , Espy Atoto
We ndo G.O.A.T wa jukwaa la MMU mkuu,tukiambiwa tutoe muwakilish wetu ni wwNikajua utanisahau mkuu... much love 😀 😀 😀 😀 uzi wetu pendwa udumu
Me bado kinda umu mkuu,hii APP ina wenyeweYako ni ipi katika ulizotaja,maana siamini kama hujajitaja Mkuu.
Huyo mtaalam naye mwanae anatafuta ajira au mtaalam wa kumfanyia mambo [emoji23].. TakuchekiMkuu achana kidogo na maswali nyingi.. mtaani hali mbaya alafu umri hausubiri embu nipe connection ya mtaalamu wa mambo yako yale anifanyie wepesi mwaka wa 6 huu tangu namaliza chuo sijaonja kitu kinaitwa ajira
Nilikuwa naweka foundation. ..sasa nanyweshea roho[emoji23]Hahah, hii combination ya msosi hatari sana...
Naona kuna hadi 'kukizi'
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mwamba sana huyu sijawah kuukosa uzi wake hata mmoja,madini sana, appreciation kwake Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787]Mshana na Uzi wake wa walevi.
Hahahaha.. Utaitwa chawa sasa hivi[emoji23]
Kabisa huyu mwamba siku nikiwa na hela nitamualiika kwenye orgy party.We ndo G.O.A.T wa jukwaa la MMU mkuu,tukiambiwa tutoe muwakilish wetu ni ww
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe huku jf watu mnaendesha magari tuu[emoji1787]View attachment 2339985