Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Hapo ndo unajua odinga hamna kitu, chochote kinachomhusu ni uhuru. Hta Angepta upresidaa angetajwa Sana uhuru. Dah Babu ni kinyago Cha mpapule kimechongwa na wenye Kazi Yao. Na hta wakibatilisha wakarud uchguzin Bado baba hataweza toboa. Wafuas wake Tyri washaingia baridi. Lkn sion Hilo likitokea, Hasa Sasa ukizingatia rais aliyepo madarakan anatakiwa Kuondka.Mkuu tusubiri mahakama itaamua, hata 2017 mlisema hakuna ushahidi wakaweka kina PLO Lumumba ila wakaangushwa na wanasheria wa NASA. So tusubiri hii ni last battle ya Uhuru Vs Ruto ndio itaprove kama Deep state is that deep ama ni story tu.
Naamin hta Babu asharidhika na kushindwa ila ni kawaida yake kwenda tbs kujua Kama kwwli ameshindwa kuhalali au la.
Lkn Pia inabuy time na kumpa Muda wa kuheal pamoja na wafuas wake