Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Ile ishu ya yeye na katibu wake wa wizara nayo imechangia
 
Waache ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anamtaja Mungu (Allah) huku akijihudhurisha kwa wachawi wake.

Roho 2 zinazokinzana zimeji neutralise... so net effect yake kiroho inabaki kuwa ni zero!
 

Kazi sio kuuza sura
 
Acha shobo dogo au unajiona siku hiz umekua uongoz ni kupeana vijiti
 
Yeye na naibu wake wametoswa, walikuwa hawapeleki hela!
 
Pia msaka uteuzi Mheshimiwa Pascal Mayalla, yaani kawekwa huko kando kabisa, hebu ngoja tuone nafasi za watendaji wa vijiji zikitoka huenda akakumbukwa
Huyu mwamba ni damu ya chawa atii, amekomaa tangu mwanzo, wajumbe walimpiga kipigo heavy, na sasa kwenye teauzi hata hamna dalili amebaki anapayuka tu humu jukwaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…