Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

[emoji23][emoji23][emoji23]hadi zungu
 
Kuna siku alimshushia kipigo cha mbwa mwizi baada ya kuondoka nyumbani kwake bila kumwambia alienda wapi na kumuacha mtoto na HG. Nadhani tangu wakati huo bado kanuna. Ngoja ninyamaze [emoji850][emoji850]
[emoji16][emoji16]aisee
 
Reactions: BAK
Pia msaka uteuzi Mheshimiwa Pascal Mayalla, yaani kawekwa huko kando kabisa, hebu ngoja tuone nafasi za watendaji wa vijiji zikitoka huenda akakumbukwa
Nadhani huyo chizi anasubilia uteuzi wa ukuu wa wilaya, kajipendekeza Le mutuz yuko wapi sasa analea tumbo tu na oklaa.
 
Kazi maalum.Kuondoa ukomo .
Unaakili ww mremboo,njoo nikuoe basi tuzae magenius... Hapa mpango nikuondoa ukomo, mbelembele katibu mkuu naye tutampangia kazi maalumu maana anapinga hiikitu!!
Yataandaliwa maandamano nchi nzima kumtaka asiondoke kwa kauli pendwa "mitano tena" nasheria itapitishwa chapu mjengoni kwa kishindo maana mjengo nikama kijani party cocus kwasasa. Katiba itabadilishwa ndowatu watajua hawajui ujue!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…