Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pia msaka uteuzi Mheshimiwa Pascal Mayalla, yaani kawekwa huko kando kabisa, hebu ngoja tuone nafasi za watendaji wa vijiji zikitoka huenda akakumbukwa
Mmbea wa rais, aka Carry mastor wa bungeni [emoji3][emoji3]Kapelekwa kama mmbea wa raisi yeye.
Kila mwaka Juliana anazaa na mumewe waliomuweka hawana hata nafasi ya kuonja.
Angela kairuki alimkosea nini Jiwe !?
[emoji23][emoji23][emoji23]hadi zunguBaada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine
Waliotemwa ni;
1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa
2. Aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki
3. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina
4. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla
5. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe
6. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga
7. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Hassan Zungu
[emoji16][emoji16]aiseeKuna siku alimshushia kipigo cha mbwa mwizi baada ya kuondoka nyumbani kwake bila kumwambia alienda wapi na kumuacha mtoto na HG. Nadhani tangu wakati huo bado kanuna. Ngoja ninyamaze [emoji850][emoji850]
HapanaKwani alifaulu ubunge?
Katemwa kiaina
Huyu ilikuwa aondoke ile issue ya daraja kukatika njia ya Moro-DodomaDah.!! Kamwelwe huyu mzee mbona alikuwa akipiga sana kazi
Anaitwa Byabato, bukoba mjiniNishati- biabati, huyu ni mbunge wa wawapi mkuu
Medical groundLuhaga Mpina kafanyaje?
Nadhani huyo chizi anasubilia uteuzi wa ukuu wa wilaya, kajipendekeza Le mutuz yuko wapi sasa analea tumbo tu na oklaa.Pia msaka uteuzi Mheshimiwa Pascal Mayalla, yaani kawekwa huko kando kabisa, hebu ngoja tuone nafasi za watendaji wa vijiji zikitoka huenda akakumbukwa
Anaumwa?Medical ground
Pia msaka uteuzi Mheshimiwa Pascal Mayalla, yaani kawekwa huko kando kabisa, hebu ngoja tuone nafasi za watendaji wa vijiji zikitoka huenda akakumbukwa
Polepole kapelekwa Bungeni kufanyaje sasa endapo hata unaibu tu kaonekana hatoshi?
Unaakili ww mremboo,njoo nikuoe basi tuzae magenius... Hapa mpango nikuondoa ukomo, mbelembele katibu mkuu naye tutampangia kazi maalumu maana anapinga hiikitu!!Kazi maalum.Kuondoa ukomo .
NdioAnaumwa?