Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
WeeeeeeSimuoni Angela Mabula wa Ardhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WeeeeeeSimuoni Angela Mabula wa Ardhi
[emoji3][emoji3]Walikuwa wanadanganywa na jiwe,niliteeni gwajimaaa,nileteeeni Tulia ni tulie,leo wanakula kwa macho
Wamenyang'anyana wanawake!!Luhaga Mpina kafanyaje?
Anjela yumo.Juliana Shonza nadhani katemwa.
Huyu tulidhani wakanda yetu kumbe wakaskazini... kaskazini ni wamasai pekee ndio wanaangaliwa wengine hiiiiiii!!Angela kairuki alimkosea nini Jiwe !?
Uno.Kwani alifaulu ubunge?
Siri Yao[emoji1787]Angela kairuki alimkosea nini Jiwe !?
Mbarawa alikuwa mnoko mno.Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine
Waliotemwa ni;
1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa
2. Aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki
3. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina
4. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla
5. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe
6. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga
7. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Hassan Zungu
Kwani Ummy mwalimu hakuwa Waziri?Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine
Waliotemwa ni;
1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa
2. Aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki
3. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina
4. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla
5. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe
6. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga
7. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Hassan Zungu
Anarudi kuendelezwa mipasho na MOAti Kigwangallah katemwa? Hii ni habari njema kusikia kwa leo.
Kuna askari wa mabakamabaka kutoka ruvu kamuua wife (rip) wake na inasemekana ni wivu wa kimapenzi.Angela kairuki alimkosea nini Jiwe !?
Nishati- biabati, huyu ni mbunge wa wawapi mkuuManaibu
Biashara - Silaoneka
Ardhi - Anjelin mabula
Kazi - Katambi
Mqmbo ya ndani - Hamza
Fedha - mwanaidi
Sayansi - Kipanga
TAMISEMI- festo john
Nishati - Biabati
Utumishi- Ndejembi
Mawasiliano- Kundo andrea matthew
Mifugo na uvivu - Philipo
Madini - Ndulanye
Ujenzi - kasekenya
Ulemavu - Ummy ndalinanga
Maji - Prisca Mahundi
Sanaa - abdala ulega
Mazingira - mwita witara
EAC - William openshaw
Utalii- Marry Masanja
Tamisemi - Ernest
Kilimo - Mbashe
Afya - Dr Godwin mollel
Katiba na sheria - Pinda Godfrey Mizengo
Nop, special mission.Katemwa kiaina
Kila mwaka Juliana anazaa na mumewe waliomuweka hawana hata nafasi ya kuonja.Weka list yote ya Manaibu. Uzi huu umeshakuwa mrefu sana.