Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Polepole kapelekwa Bungeni kufanyaje sasa endapo hata unaibu tu kaonekana hatoshi?
sio lazima mtu akiteuliwa ubunge apewe unaibu/uwaziri, isitoshe hili baraza kuna watu kibao tu hawatamaliza miaka 5 lazima watumbuliwe...so huwezi jua labda pole pole ataibuliwa badae wakati hasira za chadema juu ya pole pole zimepungua, kwani aliwahenyesha sana kwenye kampeni
 
Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine

Waliotemwa ni;

1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa

2. Aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki

3. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina

4. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla

5. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe

6. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga

7. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Hassan Zungu


Manaibu Waziri walioachwa kwenye Baraza Jipya la Mawaziri ni;

1. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza

2. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde

3. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stellah Manyanya
Stanislaus Nyongo (aliyekuwa naibu waziri wa madini - out pia)
 
Cuf wamekosa uteuzi
Chsdema wamo
Watatu,,,
Wameunga juhudi wamelamba
 
Hakuchapa kazi inavyostahili? Mbona alikuwa anaonekana mchapa kazi!

Alikuwa na kiburi? Maana Waziri Mkuu alimuonya aache kupoteza muda mwingi Twitter na Fb lakini akawa na kiburi, muda mwingi anajibishana na wapuuzi wa Twitter.

Au mkuu wa kaya amempa nafasi ajiandae kuwa mwanamitindo wa Twitter na Fb
085e4335cfc0e3a3b34ee11a2dd7fdec.jpg
 
Hakuchapa kazi inavyostahili? Mbona alikuwa anaonekana mchapa kazi!

Alikuwa na kiburi? Maana Waziri Mkuu alimuonya aache kupoteza muda mwingi Twitter na Fb lakini akawa na kiburi, muda mwingi anajibishana na wapuuzi wa Twitter.

Au mkuu wa kaya amempa nafasi ajiandae kuwa mwanamitindo wa Twitter na Fb
Kwahiyo unaona ukimtaja utabakwa au
 
Kuna siku alimshushia kipigo cha mbwa mwizi baada ya kuondoka nyumbani kwake bila kumwambia alienda wapi na kumuacha mtoto na HG. Nadhani tangu wakati huo bado kanuna. Ngoja ninyamaze [emoji850][emoji850]
Jamani BAK
Nimecheka kama mazuri
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Hakuchapa kazi inavyostahili? Mbona alikuwa anaonekana mchapa kazi!

Alikuwa na kiburi? Maana Waziri Mkuu alimuonya aache kupoteza muda mwingi Twitter na Fb lakini akawa na kiburi, muda mwingi anajibishana na wapuuzi wa Twitter.

Au mkuu wa kaya amempa nafasi ajiandae kuwa mwanamitindo wa Twitter na FbView attachment 1642501
Bure kabisaa... umbea umbea tuu.. unajiuliza na kujijibu mwenyewe..
 
Back
Top Bottom