Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Huyu hapa hii picha huwa inaniacha hoi
IMG_20201205_210322.jpeg
 
Acha kusingizia dini, jamaa allikuwa chenga.
Kama ni dini Mbona Ummy ameachwa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahsantee mpenzi [emoji8] kwa kumuelewesha.!
Kuna watu naanza kuwaona vile wanaanza kuingiza mambo ya dini kwenye uteuzi huu na watu wanasadiki kuandika Uzi eti anauliza viongozi wa dini(Ya kiislam) kwanini wapo kimya juu ya ubaguzi (wanavyoita wao). Ni changamoto sana Mkuu
 
Anaandaliwa kupewa kazi maarumu ,maana ndani ya CCM kuna kazi nyingi usishangae akawa msemaji wa Chama .😁😁😁😁😁😁😁
 
Hakuchapa kazi inavyostahili? Mbona alikuwa anaonekana mchapa kazi!

Alikuwa na kiburi? Maana Waziri Mkuu alimuonya aache kupoteza muda mwingi Twitter na Fb lakini akawa na kiburi, muda mwingi anajibishana na wapuuzi wa Twitter.

Au mkuu wa kaya amempa nafasi ajiandae kuwa mwanamitindo wa Twitter na FbView attachment 1642501
Hata hivyo hakugombea uwaziri
 
Back
Top Bottom