Manaibu je?
Victoire shonza nje ya lango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manaibu je?
Mpina alikuwa anaingia field mwenyewe live.Unaweza ukawa unafanya kazi kupitia media lakini, kiuhalisia hauna lolote.
Huyu na bashe wote chali
Dini zao pia zimewaponza
Huyu bwana slimkata mtama babake kama sijakosea.laana labda.Safari hii hajaua MTOTO!! Namsisitiza Mh Kigwa aachane na dhana za kutoa kafara ili nyota yake ing'ae!!
Acha kusingizia dini, jamaa allikuwa chenga.
Kama ni dini Mbona Ummy ameachwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uchochezi.bashe karudi,waislam mkome baraza zima mko watatu tu safi sana muache kujikombaHuyu na bashe wote chali
Dini zao pia zimewaponza
Mkuu ndo hii nadhani baada ya kumpiga babake,au ?Huyu hapa hii picha huwa inaniacha hoiView attachment 1642539
Hata hivyo hakugombea uwaziriHakuchapa kazi inavyostahili? Mbona alikuwa anaonekana mchapa kazi!
Alikuwa na kiburi? Maana Waziri Mkuu alimuonya aache kupoteza muda mwingi Twitter na Fb lakini akawa na kiburi, muda mwingi anajibishana na wapuuzi wa Twitter.
Au mkuu wa kaya amempa nafasi ajiandae kuwa mwanamitindo wa Twitter na FbView attachment 1642501
Bashe kabaki naibu kilimoHuyu na bashe wote chali
Dini zao pia zimewaponza
Bashe yumoHuyu na bashe wote chali
Dini zao pia zimewaponza
Kazi yake ilishaishaPolepole kapelekwa Bungeni kufanyaje sasa endapo hata unaibu tu kaonekana hatoshi?
Nonsense.Jamaa ana aleji na Waislamu. Ndio maana Kikwete aliwajaza hadi Hawa Ghasia alikuwa Waziri.
Watch your mouth,shutup....vp mrembo..😘😘😘.