Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Huenda ni kweli Japo nami niliaminishwa hivyo shule, lakin hata ukiangalia vitabu vya history picha nyingi za warabu ni zakuchora tu. Ila wazumgu ni picha kabisa zilizopigwa na camera. So, huenda ni kweli na bado natamani kujua zaidi black and white kuhusu wahusika wa utumwa baina ya warabu na Wazungu.
Hakuna kitu kama hicho. Ipo wazi waarabu walishiriki kikamilifu biashara ya utumwa. Mpende kusoma. Kuna afro-arabs wengi Iraq, Saudi na nyinginezo. Na usome madhila wanayopitia hadi hivi leo. Ukweli uliopo ni kuwa waarabu wao walikua ni agents ila wazungu wakiwa hasa ni wateja wakuu. Jinai ya kishenzi sana hii, baadhi ya waislam weusi kama mimi hujifanya vipofu kisa tu ya kuwa ni waislam.

Ukweli usemwe na sio kuwa na mahaba ya kishenzi. Mimi ni muislam pia, ila, palipo kweli nasema bila kujali kuwa waliofanya udhalimu ni waislam kama mimi.
 
Ongeza hapo kuwa walipofanya biashara ya utumwa waliwahasi mababu zetu ili wasiweze kuzaliana. Na ndo maana pamoja na kwamba waarabu ndo walikuwa vinara wa biashara ya utumwa na watumwa wengi pia walipelekwa uarabuni hatuwezi kuona masalia ya viazi vya watu weusi kule uarabuni kama ilivyo African-Americans
Hii ni point

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo mada ya kitambo, ila, mleta mada nimebidi kukudharau. Kitendo cha kuijumuisha Comoro, Djibouti, Somalia na Iran inaonyesha hujui kitu na wajiandikia. Kama bado hujafa uje usome hii.

By the way, kuhusu la utumwa, waarabu kwa wazungu ni washenzi na walishiriki kikamilifu wote. Ila pia tukumbuke na mchango wa baadhi ya viongozi wa jamii za wakati huo nao walishiriki kikamilifu kwenye kuwauza waafrika wenzao.

Na kupitia mantiki kama hizi ndipo unaweza kuona hulka ya ubinafsi wa mtu mweusi tangu zama hizo. Sisi watu weusi ni tabu sana!
 
Maneno yako ni kweli waliobarikiwa ni nyinyi mnaoolewa na Wachungaji wazungu

View attachment 1010101




To vicar Colin Coward, it is nothing short of a marriage made in heaven. But the 65-year-old is expected to raise a few traditional eyebrows when he walks down the aisle with the man in his life – a 25-year-old Nigerian model called Bobby.

Mr Coward and his African partner are due to hold a partnership later this year, followed by a service at the vicar’s church, St John the Baptist church in Devizes, Wiltshire.
Kweli Uislam ni UPENDO.

Wabillah Tawfiq,
tapatalk_1513619073186.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza ondoa somalia, sudan na palestina.
Pili tuambiebna upande wa ubaya na uovu wao na ukatili wao.
2. Mbona wanawatesa sana waafrika wanaoenda kufanya kazi nchi zao?
3 watawala wao wengi ni wakatili sana. Sudan huko dafur nk na saudi nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana Palestina sio nchi ya Kiarabu au Wapelestina sio Waarabu, au? Hebu tujaribu kuyajibu maswali yako:-
1 mbona waarabu hawakimbilii nchi za kiarabu badala yake wanakimbilia ulaya na marekani?
Kwahiyo unapoona televisheni za Kizungu zikionesha Wa-Syria wakikimbilia kwenye nchi zao ndo basi tena unaamini kwamba Wakimbizi wengi wa Kiarabu wanakimbilia Ulaya na Marekani!

Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya duniani hususani yale yanayohusiana na researches na data, bila shaka unaifahamu taasisi inayoitwa PEW! Kama huifahamu, do your own research lakini kwa kifupi tu wanatuambia kwamba:-
More than 5 million displaced Syrians live in neighboring countries in the Middle East and North Africa. Those in Turkey (3.4 million), Lebanon (1 million), Jordan (660,000) and Iraq (250,000) account for about four-in-ten Syrians displaced around the world (41%), according to estimates based on data from the United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR). More than 150,000 Syrians also live in North African countries like Egypt and Libya.
Vilevile:-
More than 6 million Syrians are internally displaced within their own country,accounting for about half (49%) of all displaced Syrians worldwide.
Kinyume chake, tunaambiwa:-
About 1 million displaced Syrians have moved to Europe as asylum seekers or refugees since the conflict began, according to asylum seeker data from Eurostat, Europe’s statistical agency, and UNHCR data on refugee resettlement.
Halafu, :-
About 100,000 displaced Syrians live outside Europe, Africa and the Middle East, primarily in North America.
Ukichanganya maelezo hayo, unakuta kumbe miongoni mwa wakimbizi wa Syria takribani 13 Million, zaidi wakimbizi milioni 6 wapo Syria, zaidi ya wakimbizi milioni 5 wapo nchi za Kiarabu na zingine za Kiislamu, na chini ya wakimbiki milioni moja unusu ndio wapo Ulaya na Marekani lakini wewe unaamini, au unamaanishwa WENGI wanaenda Ulaya na Marekani!
2. Mbona wanawatesa sana waafrika wanaoenda kufanya kazi nchi zao?
Hiyo ni roho mbaya tu na ukatili wa kibinadamu na wala hauna uhusiano na race, na ndio maana, Gazeti la Mwananchi linatujuza kwamba,:-
Jacqueline Kweka (30) jana alipandishwa mahakamani mjini hapa akikabiliwa na tuhuma za kumfanyia ukatili mfanyakazi wake wa ndani (15). Inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa akimpiga mfanyakazi wake huyo sehemu mbalimbali za mwili ikiwamo kumvuta nyama za sehemu za siri kwa kutumia bisibisi.
Halafu kuna hii hapa:-
Wanawake ya Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam baada ya mama mzazi wa msichana, Yusta Lucas (20) anayedaiwa kuteswa kwa kung’atwa na kuchomwa kwa pasi mwili mzima kumwona mwanawe kwa mara ya kwanza
Na hivyo ni visa vichache sana vya wafanyakazi wa ndani kuteswa na waajiri wao unless kama unaamini hayo matukio mawili yamefanywa na Waarabu waliopo TZ! Na ukienda kule MMU, simulizi nyingi za utakuta za wanaume kuwagegeda wafanyakazi wao wa ndani; mfanyakazi ambae ni innoncent na ana uwezekano mdogo sana wa kumkatalia Baba mwenye nyumba au watoto wake!!
3 watawala wao wengi ni wakatili sana. Sudan huko dafur nk na saudi nk
Mbona hueleweki?! Si umesema kwamba:
Kwanza ondoa somalia, sudan na palestina.
Si umesema mleta mada aiondoe Sudan kama nchi ya Kiarabu? Sasa inakuwaje tena Sudan hiyo hiyo unaiuhusisha na ukatili wa tawala za Kiarabu?! Au ulikuwa unamaanisha nini hasa uliposema "ondoa Sundan" na zile zingine?

All in all, unamaanisha nini hasa unaposema watawala wao wengi ni wakatili?! Manake hilo nalo naona linaturidisha kule kule ambako ukatili wala hauna race na ndio maana hata Afrika tumeshuhudia watawala wengi sana ambao walikuwa makatili! Tumesoma simulizi za akina Bokassa, Nduli Idd Amin, huko Ulaya tumewasoma akina Hitler, Mussolin! Hata akina mama nao, hawapo nyuma kwenye kundi la watawala madhalimu duniani! Kwa mfano Queen Marry of England, maarufu kama Blood Mary, ambae kwa kulazimisha Ukatoliki England, aliua zaidi ya WaProtestant 300 kwa kuwachoma moto! Hata baba yake nae, aliua karibu watu 100!! Tanzania nako, tunasikia kuna viroba vinaokotwa huko baharini vikiwa na maiti za Watanzania wenzetu!!!!!
 
Umesahau unafki...hakuna watu wanafki duniani kama hao....wanajifanya wana imani sana lakini wape upenyo wakae gizani uraomba dunia ipasuke[emoji85]

Wanajifanyaga very strong lkn hakuna watu wepesi kutawaliwa/kuvurugwa kama hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ni ndugu Waislam wakiwa katika Ibada kumwabudu Mudy S.A.W

Kwa style hii ndio maana Ushoga kwa Waarabu na Waislam wa pwani ni kawaidaa.

Nawewe umegeukia kibla yakhee???
IMG-20170921-WA0009.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli.... Mimi babu yangu alipelekwa Mtumwa akaoa muarabu na akamzaa baba yangu, baba alirudi nyumbani na kuoa na kisha kutuzaa sisi. Hata sasa ninavyo type msg hii nipo bara arabu kwa bibi zangu ambao wote ni waarabu.
Alipelekwa mtuma mwaka gani ?

Biashara ya utumwa imeisha lini ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom