Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi

Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
WACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]

1. Mabululu (Angola [emoji1029])
2. Herelinson (Angola [emoji1029])
3. Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4. Mourad (Tunisia [emoji1249])
5. Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6. Manzi (Rwanda [emoji1206])
7. Isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8. Islam Bitran (Palestine [emoji1193])

NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP

Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi? [emoji848]

1724625559159.jpg
 
WACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]

1.Mabululu (Angola [emoji1029])
2.Herelinson (Angola [emoji1029])
3.Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4.Mourad (Tunisia [emoji1249])
5.Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6.Manzi (Rwanda [emoji1206])
7.isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8.Islam Bitran (Palestine [emoji1193])

#NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho,
ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP

Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi!!????[emoji848]View attachment 3079436
Simba wana vijana wenye nguvu na kasi, (drive and energy)
 
Taarifa kutoka tripoli Libya ni kwamba uongozi wa timu umegawanyika vipande vipande ishu kubwa ni kwanini viongozi wameshindwa kuihonga caf ili wabadilishiwe Simba na timu nyingine ili walau waingie makundi. Kwa Simba tripoli wanaona hawana nafasi ya kufunga hata goli moja achia mbali kuiondosha simba
 
Back
Top Bottom