Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Good thinkingAwana wajezaji wa ku compete kimataifa, kwa msimu huu musahau tu, mna average player wengi Sana.
Ila mmeamua kuwapa sifa sizo.
Misimu miwili hi mta struggle mechi za kitaifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good thinkingAwana wajezaji wa ku compete kimataifa, kwa msimu huu musahau tu, mna average player wengi Sana.
Ila mmeamua kuwapa sifa sizo.
Misimu miwili hi mta struggle mechi za kitaifa.
AmenMungu saidia Makolo wasiingie makundi 🙏
AhaaNime Google, kumbe ni tare 13 septemba mchezo wa kwanza Libya wa pili tarehe 20 septemba nadhani kwa mkapa, tarehe hizo hizo yanga nao watacheza round ya pili na ndiyo maana watacheza Amani complex yanga atakuwa mwenyeji tarehe 20 septemba
Mimi Yanga kweli ila mpira si upo wazi wale waarabu hawana Timu ya kuitoa Simba ila wangecheza na Azam hapo ningekuelewa maana Azam wao wanacheza CAF kama mashindano ya ligi za ndani.Ukitumia mahaba ya ushabiki ...hautelewa....$ but Kama utafanya uchambuzi.... utaelewa
Naunga mkono hoja Cc ephen_Kizalendo, natamani Simba watoboe kwa manufaa ya nchi yetu.
Ila hata wakifungwa sio mbaya kiviiile, maana watapunguza kututukana wananchi.
unaogopa kila ukiona "al "WACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]
1. Mabululu (Angola [emoji1029])
2. Herelinson (Angola [emoji1029])
3. Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4. Mourad (Tunisia [emoji1249])
5. Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6. Manzi (Rwanda [emoji1206])
7. Isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8. Islam Bitran (Palestine [emoji1193])
NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP
Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi? [emoji848]
View attachment 3079436
kwan ww una Simba yako ? mpk sasa Simba kashinda mech 2 za msimu huuSio Kwa Simba hii