Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee Una kichaa eee, sasa hikii ndo nn?We ndio dishi limeyumba ngoja nilitikise kidogo likae sawa View attachment 3079722
Kumbuka smba syo wanaenda kuuza ukwaju n boli linaenda kupgwaSimba hajawahi kuwa Bora mbele ya waarabu
Uliza ueleweshwe sio unakua na kichwa kigum kama jiweWee Una kichaa eee, sasa hikii ndo nn?
Em nioneshee kuwa simbaa anaanzia nyumbani?Uliza ueleweshwe sio unakua na kichwa kigum kama jiwe
Iyo ni ratiba ,sasa basi kwa mujibu wa iyo ratiba game ya kwanza itacheza Tz kati ya 13-15 mwezi wa 9 na match ya pili itapigwa kati ya tarehe 20-22 mwezi wa 9 huko tripoliEm nioneshee kuwa simbaa anaanzia nyumbani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.Iyo ni ratiba ,sasa basi kwa mujibu wa iyo ratiba game ya kwanza itacheza Tz kati ya 13-15 mwezi wa 9 na match ya pili itapigwa kati ya tarehe 20-22 mwezi wa 9 huko tripoli
Nb:
Hapo ni team wenyewe ichague taree kati ya izo tarehe kwa lugha nyepesi simba game yake ya mwisho itakua ndani ya mji wa tripoli
Good girl nafurahi kichwa chako kimekua chepesi haikua rahisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.
Yaani Simba ya 7 Africa ianzie nyumbani dhidi ya hao vilaza kwenye hatua hii?Na mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane