Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakesha bar ikitokea hii.Mungu saidia Makolo wasiingie makundi 🙏
Tunaanziaje kwa mkapa tena???? Game inaanziwa kwa mdogo sikuzote.Na mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane
Majayantiii wameanzia home au majayantii wa mchongo.We ndio dishi limeyumba ngoja nilitikise kidogo likae sawa View attachment 3079722
Kwa hiyo tukubaliane mapema kabisa kwamba timu ya Al Ahli Tripoli ya Libya ni timu yenye wachezaji bora kabisa inayoshiriki Shirikisho, na kwamba Simba ikiitoa itakuwa imeitoa timu bora kabisa barani Afrika, au sio?NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP
Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi? [emoji848]
Utopolo kwa hiyo ninyi mnafurahi mmepangiwa vibonde.WACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]
1. Mabululu (Angola [emoji1029])
2. Herelinson (Angola [emoji1029])
3. Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4. Mourad (Tunisia [emoji1249])
5. Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6. Manzi (Rwanda [emoji1206])
7. Isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8. Islam Bitran (Palestine [emoji1193])
NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP
Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi? [emoji848]
Kachek ratiba utajuaTunaanziaje kwa mkapa tena???? Game inaanziwa kwa mdogo sikuzote.
13 September ni birthday yangu . Naamini Simba inatoboa siku hii na kunipa furaha.Nime Google, kumbe ni tare 13 septemba mchezo wa kwanza Libya wa pili tarehe 20 septemba nadhani kwa mkapa, tarehe hizo hizo yanga nao watacheza round ya pili na ndiyo maana watacheza Amani complex yanga atakuwa mwenyeji tarehe 20 septemba
Haaa itakuwa mukide13 September ni birthday yangu . Naamini Simba inatoboa siku hii na kunipa furaha.
Pia zipo nyingine mkuu....siyo hyo mkuuKwa hiyo tukubaliane mapema kabisa kwamba timu ya Al Ahli Tripoli ya Libya ni timu yenye wachezaji bora kabisa inayoshiriki Shirikisho, na kwamba Simba ikiitoa itakuwa imeitoa timu bora kabisa barani Afrika, au sio?
Ndio timu za kuiongezea viwango CAF. 👏Utopolo kwa hiyo ninyi mnafurahi mmepangiwa vibonde.
Sisi Simba tunafurahi tunapopangwa na timu ngumu hao ndo saizi yetu
Utopolo akili zao ziko ivyo msamehe buree,, huenda amesikia Manara akisema ivyooUna Matatizo wewe Yani timu ya 7 Bora Africa ianzie Nyumbani tena Raundi ya kwanza ? Unafatilia soka vzr kweli wewe?
Saivi imekuwa Mabululu Kila Kona utafikir mchezaji wa maanaJapo hawaelewi