Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tu Simba hauipendi, bali UNAICHUKIA sana!Ilikuwa zamani
Maombi yako yanafanyiwa kazi usijaliMungu saidia Makolo wasiingie makundi 🙏
Hapo ni kwa kiwango cha chiniYule ni hatari...Kwa Kiwango Cha chini ....mabululu ana goli 3 Kwa simba
Kwahiyo hawana mchezaji hatari mzawa hata mmoja hao wa Libya?Both.....wakimataifa + wachezaji hatari
Kuna huyu mabululu....ni noma sanaKwahiyo hawana mchezaji hatari mzawa hata mmoja hao wa Libya?
Na hao uliowataja ni hatari kwa lipi maana sijaona maelezo ya huo uhatari wao zaidi ya kuona nchi walizotokea au unamaanisha hizo nchi walizotoka ndio hatari?
Lakini AKILI HAKUNA....YANAKIMBIA KAMA NGURUWE PORI.Simba wana vijana wenye nguvu na kasi, (drive and energy)
Ni kweli tuwape mudaLakini AKILI HAKUNA....YANAKIMBIA KAMA NGURUWE PORI.
Hahaha ndo maana uchawi upo zaidi Africa maana uchawi hautaki maendeleo.Mungu saidia Makolo wasiingie makundi 🙏
Kumbe Simba imeiondoa mashindanoni timu hatari sana !WACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]
1. Mabululu (Angola [emoji1029])
2. Herelinson (Angola [emoji1029])
3. Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4. Mourad (Tunisia [emoji1249])
5. Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6. Manzi (Rwanda [emoji1206])
7. Isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8. Islam Bitran (Palestine [emoji1193])