Wafahamu wachezaji kumi bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu Tanzania

Wafahamu wachezaji kumi bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu Tanzania

Hawa ndio wachezaji kumi bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Vigezo mbalimbali vilivyotumika ni kama kuwa MVP, kuwa mfungaji bora, idadi ya makombe na hata transfer fee.

1. Luis Miquissone
2. Clatous Chama
3. Emmanuel Okwi
4. Patrick Mafisango
5. Amissi Tambwe
6. Meddie Kagere
7. Fiston Mayele
8. Yannick Bangala
9. Haruna Niyonzima
10. Nonda Shaban
Hao uliowataja juu kuna alie mfikia mafanikio Nonda Shaban hata Nusu?
 
Hawa ndio wachezaji kumi bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Vigezo mbalimbali vilivyotumika ni kama kuwa MVP, kuwa mfungaji bora, idadi ya makombe na hata transfer fee.

1. Luis Miquissone
2. Clatous Chama
3. Emmanuel Okwi
4. Patrick Mafisango
5. Amissi Tambwe
6. Meddie Kagere
7. Fiston Mayele
8. Yannick Bangala
9. Haruna Niyonzima
10. Nonda Shaban
Ushawahi kusikia jina la MARK SIRENGO, km bado research tena ndugu, list yote hiyo utaikataa
 
Umri pia unachangia tujaribu kumuelewa
Ni kweli mkuu umri na elimu ndio shida hapa, Nonda katika list hiyo hakuna hata aliyefikia nusu yake, Yanga Yosso hii iliyomfanya president Kikwete (kipindi hicho ni foreign minister)Aachen majukumu yake na kukimbilia taifa stadium kushughudia hawa yosso, binafsi sio shabiki wa mpira wa timu za hapa nyumbani.
 
Hawa ndio wachezaji kumi bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Vigezo mbalimbali vilivyotumika ni kama kuwa MVP, kuwa mfungaji bora, idadi ya makombe na hata transfer fee.

1. Luis Miquissone
2. Clatous Chama
3. Emmanuel Okwi
4. Patrick Mafisango
5. Amissi Tambwe
6. Meddie Kagere
7. Fiston Mayele
8. Yannick Bangala
9. Haruna Niyonzima
10. Nonda Shaban
Ulikuwa na miaka mingapi wakati Costantine Kimanda akikichafua Yanga?
 
Ni kweli mkuu umri na elimu ndio shida hapa, Nonda katika list hiyo hakuna hata aliyefikia nusu yake, Yanga Yosso hii iliyomfanya president Kikwete (kipindi hicho ni foreign minister)Aachen majukumu yake na kukimbilia taifa stadium kushughudia hawa yosso, binafsi sio shabiki wa mpira wa timu za hapa nyumbani.
Nimeanza kutazama mpira mwaka 1996 hivyo nina uzoefu mkubwa. Wachezaji wengi nimewaona walipokuwa wanacheza.
 
Back
Top Bottom