Wafahamu wachezaji kumi bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu Tanzania

Wafahamu wachezaji kumi bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu Tanzania

Hawa ndio wachezaji kumi bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Vigezo mbalimbali vilivyotumika ni kama kuwa MVP, kuwa mfungaji bora, idadi ya makombe na hata transfer fee.

1. Luis Miquissone
2. Clatous Chama
3. Emmanuel Okwi
4. Patrick Mafisango
5. Amissi Tambwe
6. Meddie Kagere
7. Fiston Mayele
8. Yannick Bangala
9. Haruna Niyonzima
10. Nonda Shaban
Nonda shabani alikuwa hamna kitu.. Mmachinga kila mechi alikuwa anampiga Benchi Yanga walimuuza Vaal Fc ya South Africa kwa bei ya hasara sana...Ni aibu hii list kukosa Boniface Ambani
 
Hao uliowataja juu kuna alie mfikia mafanikio Nonda Shaban hata Nusu?
Umezaliwa mwaka gani!? Acha kufuata mkumbo wa cv ya Nonda kwamba amecheza Monaco,Portsmouth n.k enzi zetu wakati anacheza Yanga Nonda alikuwa ni mchezaji wa kawaida sana sema ana bahati sana na kama kuwika kisoka aliwika huko mbele sio Yanga
 
Hao uliowataja juu kuna alie mfikia mafanikio Nonda Shaban hata Nusu?
Umezaliwa mwaka gani!? Acha kufuata mkumbo wa cv ya Nonda kwamba amecheza Monaco,Portsmouth n.k enzi zetu wakati anacheza Yanga Nonda alikuwa ni mchezaji wa kawaida sana sema ana bahati sana na kama kuwika kisoka aliwika huko mbele sio Yanga
 
Ubora ni pamoja na consistancy. Msimu mmoja hautoshi mzee. Ndio maana hata Sakho hatujataka aingie
Mpira anaoucheza sakho sidhani kama atakuja kuingia huku labda abadilike sana siku zijazo. Mchango wake kwenye mafanikio ya timu sio mkubwa sana.
 
Umezaliwa mwaka gani!? Acha kufuata mkumbo wa cv ya Nonda kwamba amecheza Monaco,Portsmouth n.k enzi zetu wakati anacheza Yanga Nonda alikuwa ni mchezaji wa kawaida sana sema ana bahati sana na kama kuwika kisoka aliwika huko mbele sio Yanga
sioni sababu ya kuendelea kujadili hapa
 
Nonda shabani alikuwa hamna kitu.. Mmachinga kila mechi alikuwa anampiga Benchi Yanga walimuuza Vaal Fc ya South Africa kwa bei ya hasara sana...Ni aibu hii list kukosa Boniface Ambani
Ambani alipotea kirahisi sana na hakuna mafanikio makubwa yanayoweza kuhusishwa naye.

Nonda ndio maana amekaa namba kumi hasa kwasababu alifanikiwa zaidi katika soka lake.
 
Ambani alipotea kirahisi sana na hakuna mafanikio makubwa yanayoweza kuhusishwa naye.

Nonda ndio maana amekaa namba kumi hasa kwasababu alifanikiwa zaidi katika soka lake.
Ambani ndio mchezaji mgeni ambaye alifunga mabao mengi kwa msimu mmoja tena msimu wa kwanza tu na rekodi yake haijawahi kuvunjwa,
Nonda hakufanikiwa Tz maana amechez msimu mmoja tu 1993-94 kabla ya kutoroka kwenda South kipindi hicho chote alichokuwa Tz alicheza mechi chache za timu ya wakubwa na nyingi za yanga ya vijana..kwahiyo hatuwezi kusema ana mafanikio ktk soka la Tanzania
 
Hao waingie top ten? Wote nimewaona wakicheza isipokuwa Kimanda peke yake.
Umesema ukweli wewe bado mtoto sana kwa hiyo hata Kimanda haujui sifa zake? Je kichochi Lemba ama Cheche Kagile hata hauna wazo kama walicheza mpira. Kua kwanza ndio uandike utafiti.
 
Hawa ndio wachezaji kumi bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Vigezo mbalimbali vilivyotumika ni kama kuwa MVP, kuwa mfungaji bora, idadi ya makombe na hata transfer fee.

1. Luis Miquissone
2. Clatous Chama
3. Emmanuel Okwi
4. Patrick Mafisango
5. Amissi Tambwe
6. Meddie Kagere
7. Fiston Mayele
8. Yannick Bangala
9. Haruna Niyonzima
10. Nonda Shaban
Nonda Shabani ameingia kwa kigezo gani hapa? Wakati akiwa Yanga alikuwa hata namba hapati hadi akaamua kutimka. Kama ninakumbuka vyema hajawahi kucheza mechi zaidi ya Nne akiwa Yanga na zote alitokea benchi.
Kwa kifupi Nonda Shabani hajawahi kushinda chochote hapa Tanzania.
Kahata amefanya makubwa kuliko Nonda hapa Tanzania.
 
Hawa ndio wachezaji kumi bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Vigezo mbalimbali vilivyotumika ni kama kuwa MVP, kuwa mfungaji bora, idadi ya makombe na hata transfer fee.

1. Luis Miquissone
2. Clatous Chama
3. Emmanuel Okwi
4. Patrick Mafisango
5. Amissi Tambwe
6. Meddie Kagere
7. Fiston Mayele
8. Yannick Bangala
9. Haruna Niyonzima
10. Nonda Shaban
Kipre Tchetche
 
Back
Top Bottom