Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Jide siyo mkurya. Ni kabila fulani wanaitwa Wasizaki. Ni kabila la kina WasiraAhaaaaaaaa ndo umshauri afanye mazoezi ya nyonga tuone miuno,au wakurya desturi yao sio kunyonga
Wanapatikana Bunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jide siyo mkurya. Ni kabila fulani wanaitwa Wasizaki. Ni kabila la kina WasiraAhaaaaaaaa ndo umshauri afanye mazoezi ya nyonga tuone miuno,au wakurya desturi yao sio kunyonga
Huwa analamba lips, zinakauka.Baraka the prince, hawezi kuimba bila vikoti vyake.
Diamond, lazima ajing’ate ng’ate meno.
Hao jamaa tabia zao unakuta huko mbeya mtu kavaa shati na suruali vya kijani Ila ni satiniInasemekana Rayvanny siyo Mnyakyusa. Ni Msafwa.
Kwahiyo nae anatoka kinondoni mkuu maana ndo tabia zao mkuu?Huwa analamba lips, zinakauka.
Halafu ni bingwa wa Kucheza na Camera ili asiharibu Kwasababu ya mdomo, Directors hasa wa nje wakimsogezea karibu.
Check video ya Hallelujah.
Na wasafwa akili zao huwa naona kama wagogo.Hao jamaa tabia zao unakuta huko mbeya mtu kavaa shati na suruali vya kijani Ila ni satini
Na kiatu kirefu cheupe
Mzee wa kupiga vizinga yule mdada wa KenyaNa wasafwa akili zao huwa naona kama wagogo.
Yaani mgogo ni mgogo tu, check akili ya Ben pol.
Temba ni typically mshambaSwaga za Mhe Temba ni mwaka 90 huko, enzi za Kwanza Unit.
😂😂Umemsahau lady jd identity yake kwenye kila video anakuwa na kiuno kigumu kama jiwe
Hakuna kabira exactly la wakurya , wakurya ni muunganiko wa makabila ya mkoa wa mara ikiwemo hao wazanakiJide siyo mkurya. Ni kabila fulani wanaitwa Wasizaki. Ni kabila la kina Wasira
Wanapatikana Bunda
Umemsahau lady jd identity yake kwenye kila video anakuwa na kiuno kigumu kama jiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao jamaa tabia zao unakuta huko mbeya mtu kavaa shati na suruali vya kijani Ila ni satini
Na kiatu kirefu cheupe
Check na ya ndugaiNa wasafwa akili zao huwa naona kama wagogo.
Yaani mgogo ni mgogo tu, check akili ya Ben pol.
Mimi ni Mzanaki. Siyo MkuryaHakuna kabira exactly la wakurya , wakurya ni muunganiko wa makabila ya mkoa wa mara ikiwemo hao wazanakio.
Naomba tuishie hapo nadhani tutazua topic nyingine kwenye thread ya mtu, labda niku ulize wakurya wanapatikana eneo gani mkoa wa mara?Mimi ni Mzanaki. Siyo Mkurya
Hakuna kabira exactly la wakurya , wakurya ni muunganiko wa makabila ya mkoa wa mara ikiwemo hao wazanaki
Naomba tuishie hapo nadhani tutazua topic nyingine kwenye thread ya mtu, labda niku ulize wakurya wanapatikana eneo gani mkoa wa mara?
'unaga' ndio nini?Unaga maneno mengi sijui kwanini?